Inategemea na chuo, sio kila chuo wanatoa hizi degree! ila kwa jalalani hizi degree hutolewa sana!Habari wana JF.
Naomba kufahamishwa utofauti kati ya kupata mfano: Upper second division with honor/honour na Upper Second division.
Ahsante.
Nadhani ni chuo na chuo. Mimi GPA yangu ilikuwa hivi.Ukimaliza chuo bila supplementary na ufaulu wako ulikuwa unapanda kila mwaka hapo utapata hons. Kwa wale wa udsm waliomaliza 2015 walipewa hons ya heshima hata Kama waliomaliza na supplementary.
Ili upate honor GPA, inategemea conditions mbili, Kwanza kama GPA yako ni kuanzia upper second kupanda uli imantain, au bila supplementary. Pili ni GPA kupanda kila mwaka(haijalishi ulipata sup au hukupata).
N.B unaweza kuwa na first class ila usipate honor.
Mimi kila mwaka nilikuwa nagonga sup na nina hons.Honor upper second ni upper second aliyopata mtu bila suplimentary hata moja mda wote wa masomo.
Hiyo nyingine ni ile ya wengi.
Umesomea chuo gani?Mimi mbona sijapewa hiyo hons wakati hata C sikuwahi kupata chuo??
Why?Ukimaliza chuo bila supplementary na ufaulu wako ulikuwa unapanda kila mwaka hapo utapata hons. Kwa wale wa udsm waliomaliza 2015 walipewa hons ya heshima hata Kama waliomaliza na supplementary.
Umesomea chuo gani?