Tochi za kuthibitisha noti halali

Tochi za kuthibitisha noti halali

MUSIGAJI

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
2,261
Reaction score
2,741
Wakuu habari ya majukumu?

Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu, zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti, ili kubaini noti halali na noti feki?.

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu habari ya majukumu?

Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu,zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti,ili kubaini noti halali na noti feki?.

Natanguliza shukrani.
Naomba unitag ukipata majibu.


Asante Sana
 
Wakuu habari ya majukumu?

Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu,zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti,ili kubaini noti halali na noti feki?.

Natanguliza shukrani.
Ingia online Amazon eBay au Ali baba tena bei huwa inakuwaga nzuri
 
Zinaitwaga uv light note checker kama sijakosea
 
Nunua simu ya bontel kitochi 20k utapata hicho kitochi
 
Hakuna mahali zinapatikana nchini mkuu?
Torch au tube light?mimi nimeshanunua tube light (ultraviolet light bulb ), kuna duka moja dar, ni muda sana, ila bei yake, imechangamka ilikuwa ikiuzwa 40, 000!!kwenye sehemu yangu ya biashara nilikuwa napigwa sana!!kwani wafanyakazi walikuwa hawajui kuzitambua pesa fake, nilipokuja kuifunga hiyo, mtu akichomoa tu hiyo pesa mfukoni, anaiona heeeee!!mbona nyeupe, anairudisha kimya kimya, anaitoa ile halali kwa malipo ya kitanzania!!kama hana nyingine anatoka kimya kimya tu!zile taa ni mwisho wa pesa fake.
 
Torch au tube light?mimi nimeshanunua tube light (ultraviolet light bulb ), kuna duka moja dar, ni muda sana, ila bei yake, imechangamka ilikuwa ikiuzwa 40, 000!!kwenye sehemu yangu ya biashara nilikuwa napigwa sana!!kwani wafanyakazi walikuwa hawajui kuzitambua pesa fake, nilipokuja kuifunga hiyo, mtu akichomoa tu hiyo pesa mfukoni, anaiona heeeee!!mbona nyeupe, anairudisha kimya kimya, anaitoa ile halali kwa malipo ya kitanzania!!kama hana nyingine anatoka kimya kimya tu!zile taa ni mwisho wa pesa fake.
Nielekeze duka hilo mkuu.
 
Nielekeze duka hilo mkuu.
Clock tower, (kwenye round about )kama unatokea kituo kikuu cha polisi kati(maeneo ya station) , ile barabara ya juu , ukiwa tu kwenye round about hiyo, kwa mbele yako mkono wa kushoto utaona duka kubwa la vifaa vya umeme, ulizia hapo.japo najua kwa sasa kuna maduka mengi tu ya vifaa vya umeme utaweza zipata.ila liwe duka kubwa,
 
Clock tower, (kwenye round about )kama unatokea kituo kikuu cha polisi kati(maeneo ya station) , ile barabara ya juu , ukiwa tu kwenye round about hiyo, kwa mbele yako mkono wa kushoto utaona duka kubwa la vifaa vya umeme, ulizia hapo.japo najua kwa sasa kuna maduka mengi tu ya vifaa vya umeme utaweza zipata.ila liwe duka kubwa,
Nitaenda kujaribu mahali hapo mkuu. Kwa mchana wa jua kali hii balubu kwenye kibanda chenye mwanga tele wa jua utendaji wake unakuwaje mkuu?.
 
Back
Top Bottom