Toa ushauri kwa televison ya taifa TBC

Toa ushauri kwa televison ya taifa TBC

Waache kuweka habari bila uhakiki na umakini mfano juzi wameonesha habari ya Obama akihutubu chini wakaandika BARACK OBAMA RAIS WA TANZANIA...ni makosa sawa wengine watasema ni bahati mbaya sawa ila umakini ni muhimu mno ktk upashaji habari
 
Mimi nimeshangaa televisheni ya TAIFA kuwa na kipindi cha kichen pati(CHEREKO)..?
 
TV ya taifa inatakiwa kuwa mfano kwa wengine ila hii yetu haiko serous. tuambieni tatizo nini? mi nafikiri Tido Muhando alikuwa na mengi ya kuifanyia Tbc. limebaki giza.......makosa kama hayo ni too much.
 
editorial room yao ijitambue kwani mambo mengi wanaonekana kama wemelala kama kukata kata wakati wakipindi cha moja kwa moja..
 
umeorodhesha vipengele vingi ila jibu ni hilo la tatu ndio jibu sahihi.
 
TBC ni sikio la kufa, limeshaanza kuoza, kisa siasa watu wanasaliti ethics za proffession zao, ------- kabisa kodi yangu inaenda bure
 
Ivunjwe ama ikabidhiwe rasmi kwa CCM tena bureee!
 
Back
Top Bottom