Toa maoni yako juu ya wagombea hawa wa BAVICHA (Chadema) taifa

mods .... hawa watoa mada wa namna hii wanaiaribia JF status yake

please discard this rotten post


Hawa Mods kweli wana uvumilivu sana, maana watu kama hawa walitakiwa wale ban tu kwa kujaza server tu
 
Wakati wengine wana rumbana kuwa wenyeviti wa BAVICHA mgombea pekee wa nafasi hiyo DEOGRATIUS KISANDU inasadikika huenda akwa ndiye mshindi......wawooooooo KISANDU tunakutakia kumpindua KIKWETE bila kificho.

mmmh! hawa mamluki wa ccm hawa!!!!!!!
 
WAKATI WENGINE WANATUPIANA MADONGO UCHAGUZI WA BAVICHA Deogratius Kisandu NDO MGOMBEA PEKEE WA NAFASI YA MWENYEKITI ANAYESTAHILI KUTUNUKIWA NAFASI HIYO KWANI HANA SKENDO KABISA ...........HUYU NDO WA KWELI...........mimi mpiganaji toka MTWARA
Hili jamvi sio la kampeni bwana we vipi? angalia utakula ban siku ingine!!!
 
Ukiwa na wapiga kampeni wa hivi, basi umeliwa. This is the weakest technique for campaigning. Naona wewe bado mdogo sana kuwa mwenyekiti wa BAVICHA.
 
ameweka kichwa chenye topic hiyo ili watu tuidandie na isomwe kwa wingi.... Ili ampigie kampeni mtu wake - ha ha ha

baba clara wewe ni noma ila agalia ma-mod wamo humu.

hakuna mpiga kura hapa. Ni analysts na activists
 
GAMBA GUMU HILO! Hata Shetani linapotaka kumtoka mtu huwa linaweweseka sana kama hili Gamba linalotaka kujivua CCM linavyoweweseka.
 
Ukiwa na wapiga kampeni wa hivi, basi umeliwa. This is the weakest technique for campaigning. Naona wewe bado mdogo sana kuwa mwenyekiti wa BAVICHA.

Ur correct.This is so cheap campaigning strategy.If the poster is aspirant himself,then he is not fit for the post and actually he needs to grow up intellectually before indulging into politics in the first place
 

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join Date : 10th May 2011
Posts : 4
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0

icon1.png
Bungeni nako


jf INAONEKANA KUWA YA WATU FULANI kisandu anasahauliwa namuwasilisha kwenu mgombea wa nafasi ya mwenyekiti BAVICHA kijana Deogratius Kisandu.........


Gamba weee na kirusi chenye pembe usituchoshe
 
Ni Litakataka la CCM hilo limekuja JF kutuchanganya. Wadau achaneni nalo hili jamaa linalojiita Baba Clara
 
Utafikwa wakati nitakuwa sitii mguu wangu kwenye ili jukwaa la siasa maana naona mambo yanayo andikwa humu yamekuwa ya kitoto zaidi...
 
Jamani hebu watu wawe makini.Mambo mengine yanachekesha na kuudhi at the same time
Mtu anamtumia Zitto ili kupata attention.Hawa attention seekers huku JF ni tatizo.Inawezekana si Mgombea ila kuna mtu anataka kumchafua huyo mgombea.Kuna mambo mengi sana huku JF

As for you Baba Clara,There is nothing logical in what you have posted so far. To yourself perhaps you make sense but, seriously, nothing logical in your post
Lakini tukumbuke kuwa kampeni hazijaruhusiwa bado.Let us be Objective .People are funny sha
 
Back
Top Bottom