johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,460
- 147,187
Nakumbuka JJ Mnyika na Jafo walipokuwa Vijana walipigania sana Uundwaji wa Baraza la Vijana la Taifa
Naomba Vijana wa Leo ifufueni Hoja ya kuwa na Baraza lenu lisilo na mrengo wa itikadi za Vyama vya Siasa
Jumaa Mubarak 😃
Naomba Vijana wa Leo ifufueni Hoja ya kuwa na Baraza lenu lisilo na mrengo wa itikadi za Vyama vya Siasa
Jumaa Mubarak 😃