theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
Kwa jinsi hali ya mambo ilivyo inaelelekea engi tutaaminishwa kwamba wazanzibari wengi wanapenda kujiondoa kwenye muungano wa sasa. Inawezekana kabisa hata wa-bara (watanganyika) nao walio wengi hawana tatizo muungano huu ukivunjika na badala yake yake tukawa na shirikisho la Tanganyika na Zanzibar (ambalo si vibaya likaitwa Shirikisho la Tanzania).
Kwa bahati mbaya hakuna mahali watanganyika kama ilivyo kwa wazanzibar, wamepewa nafasi kueleza mawazo yao
Kwa mwana-JF anayeona ni bora wazanzibari waachwe wajiondoe kwenye muungano na watanganyika wabaki na tanganyika yao, atoe maoni yake hapa kama njia ya KUWAELEZA WATAWALA ILI WACHUKUE HATUA STAHIKI
Kwa bahati mbaya hakuna mahali watanganyika kama ilivyo kwa wazanzibar, wamepewa nafasi kueleza mawazo yao
Kwa mwana-JF anayeona ni bora wazanzibari waachwe wajiondoe kwenye muungano na watanganyika wabaki na tanganyika yao, atoe maoni yake hapa kama njia ya KUWAELEZA WATAWALA ILI WACHUKUE HATUA STAHIKI