Toa jambo unaloona ni fact

Toa jambo unaloona ni fact

aduwilly

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
1,191
Reaction score
320
Mfano:

1. Unauliza ndefu uarabuni!!!

2. Unauliza maandamano CDM!!!

3. Unauliza makofi polisi!!!

4. Unauliza paka wakati mkia unauona!!!

5. Unauliza ufisadi CCM!!!

6. Unauliza makofi polisi!!!

7. Unauliza kete casino!!!

8. ...............
 
unauliza kongfu bungeni? tena bunge la TZ
 
8. Unauliza vumbi stoo.
9. Unauliza matusi kwa Lusinde.
10. Unauliza Muungano wa Tz ni wa nchi zipi kwa Murugo.
11. Unauliza kwanin Wanafunzi wa kike wanapata mimba kwa Jakaya.
 
unauliza utaendaje Kigamboni na nauli haitoshi kwa Magufuli!
 
Unauliza mk.... wa kuku, ngoja upepo uje

Unauliza kunguni segerea

Unauliza baridi Mafinga

Unauliza Wagogo Ukonga

Unauliza coins kwa muuza karanga

Unauliza chupi jandoni

Unauliza chumvi uvinza wewe

Unauliza mbuzi vingunguti

Unauliza machoko London Soho
 
Unauliza mk.... wa kuku, ngoja upepo uje

Unauliza kunguni segerea

Unauliza baridi Mafinga

Unauliza Wagogo Ukonga

Unauliza coins kwa muuza karanga

Unauliza chupi jandoni

Unauliza chumvi uvinza wewe

Unauliza mbuzi vingunguti

Unauliza machoko London Soho

hiyo yenye bold sidhani kama ni true otherwise wangekuwa wanachelewa kupona sana
 
unauliza usanii bagamoyo

unauliza chachandu Tanga
 
unauliza uchawi sumbawanga

unauliza misukule kwa Dr. Manyau nyau
 
Back
Top Bottom