Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Wekeni picha zenu na nyinyi tuzi-assess kudadadeki.
hapo sasa...... watu wepesi kuwa judge wenzao...
Wekeni picha zenu na nyinyi tuzi-assess kudadadeki.
khaa watu mna maneno jamanii :caked:nilimuonaga maeneo ya kinondoni akanisogelea tukawa tunasalimiana almanusra nizimie maana lile tabasamu na uso wake alivo kama yai lilio ungua, kakomaaaa kama dume la fisi
Mh! Hapana, uso wa Mnyaturu/msukuma/mwiraqw mikono ya mjita/mkuryaUso wa mwaka 2000 na mikono ya mwaka 1947
hilo nalo nenoMikono ya mtu mwingine nini mbona haina ushirikiano na uso??/
Mambo ya Ngoswe....................View attachment 32841
Wadau hebu niambieni huyu mama anakula unga, bangi, mirungi, au gongo ndo unamfanya hivi?!!, naona kila siku anakongamaa tu, cosmetics dont work good enough!. niambieni mnaomfahamu
Clementine!Reminds me of THE SONG OF LAWINO BY OKOT P'BTEK
Asha Baraka huyo wa Twanga PPT