Toa caption inayoendana na picha hii

Toa caption inayoendana na picha hii

Nisubiri dk tano kamanda msiimalize hii k van't peke yenu nakuja
 
Wajomba nawasalimu kwa jina la JMT.

Hii picha inasema mengi sana, pia ni picha nzuri na yakuvutia.

Wajombaa nisaidien kutoa caption inayoendan nayo
"MJOMBA MJOMBA nisikilize mjombaa acha na hao simba mjomba hiyo timu ya familia, Yanga ndio timu ya wananchi mjombaa, Mimi nakwambia mjomba simba bila paka haleti timu uwanjan mjomba".

View attachment 1838987

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Nimejinyea mke wangu, nilitaka kujamba ila nikajiachia mpaka nashindwa kutembea kuogopa mavi yataanguka
 
Unasema kuwa Mdude kasemaje tena! Ila huyu mtoto huyu jamani daah kwahiyo amemua kufa huku amesimama et?
 
WAPI YEYE:Mnasemaje ninyi watu?Kama hakuna chapati kwa nini msile hata maandazi au sambusa?
 
Back
Top Bottom