Toa caption inayoendana na picha hii

Toa caption inayoendana na picha hii

6321

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
649
Reaction score
1,123
Wajomba nawasalimu kwa jina la JMT.

Hii picha inasema mengi sana, pia ni picha nzuri na yakuvutia.

Wajombaa nisaidien kutoa caption inayoendan nayo
"MJOMBA MJOMBA nisikilize mjombaa acha na hao simba mjomba hiyo timu ya familia, Yanga ndio timu ya wananchi mjombaa, Mimi nakwambia mjomba simba bila paka haleti timu uwanjan mjomba".

FB_IMG_1624813895154.jpg


Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Nimesema namalizia nyumba yangu iliyopo makongo juu na ninakabiliwa na ada ya mwanangu aliyeko yuganda. Hivyo labda tuangalie mwezi ujao
 
Mkuuu katoka toka jana...labda kesho kutwa.
 
Tuliwaambieni tena na tena Bi Mkubwa mchemsho mkabishi. Mbona sasa!??? JPM alikuwa jeshi na nusu.
 
...... Okay, kumbe msosi baada ya kuzika ehhh... utanidep mkitoka makaburini ili niwahi foleni ya msosi, usisahau siunajua shemeji yako hayupo kwahiyo sina ratiba ya kupika Usiku Leo..
 
Mkubwa hicho kiwanja kina mgogoro sana.hakiuziki nasikia kuna mauzauza pia, naongea na dalali mwezangu tutadodoka hapo kesho na mteja, kausha basiii
 
JPM sijawahi kumuelewa na sitokuja kumuelewa
Usijali sana maana hauko peke yako. Hata Bi Mkubwa wenu alidai alimwelewa, lakini makorokocho ayafanyao ni dhahiri alikuwa anasinzia darasani wakati Profesa JPM akitoa bonge la lectures field.
 
"Sasa hivi hapa mambo saaafi, mi si nilikwambiaga subira haivuti bangi"
 
Leo wataniuwia hapa lazima watoe mzigo
 
Mwambie nina wiki mbili sipo mjini 😂😂
 
"Nipo katika mipango ya kununua lile shamba la Bunju ndipo nifanye ile biashara nyingine"
 
Back
Top Bottom