6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,123
Wajomba nawasalimu kwa jina la JMT.
Hii picha inasema mengi sana, pia ni picha nzuri na yakuvutia.
Wajombaa nisaidien kutoa caption inayoendan nayo
"MJOMBA MJOMBA nisikilize mjombaa acha na hao simba mjomba hiyo timu ya familia, Yanga ndio timu ya wananchi mjombaa, Mimi nakwambia mjomba simba bila paka haleti timu uwanjan mjomba".
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Hii picha inasema mengi sana, pia ni picha nzuri na yakuvutia.
Wajombaa nisaidien kutoa caption inayoendan nayo

"MJOMBA MJOMBA nisikilize mjombaa acha na hao simba mjomba hiyo timu ya familia, Yanga ndio timu ya wananchi mjombaa, Mimi nakwambia mjomba simba bila paka haleti timu uwanjan mjomba".
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app




