Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,607
- 10,020
Unamfahamu marehemu Christopher maji ya Tanga Mzindakaya ? Umewahi kumsikia? Kama umewahi basi wewe tulia tu.Unaujua uchawi wa kutoka kigoma uliomtoa Simba? Haushindwi chochote
Unamfahamu marehemu Christopher maji ya Tanga Mzindakaya ? Umewahi kumsikia? Kama umewahi basi wewe tulia tu.Unaujua uchawi wa kutoka kigoma uliomtoa Simba? Haushindwi chochote
90% Me aina hii huwa ni waigizaji, ukute hana hata . ya upendo ila kajitoa tu akili.Jamaa kazama sana mpaka kaona afanye mbele ya kadamnasi
Wait n see 😅😅Wewe 1k ita kuponza 😂🤣
A.k.a ng'ombe ya simanjiro🤓😀Bado hujasema 🤣🤣🤣🤣
Tatu mzuka
Bro USI nipigie simu uki Lia, Sina Cha kuku shauri siku hiyo🤓🤣Wait n see 😅😅
Nili toa mbona , na mjadala uka fungwa 😀Hukutoa utetezi wowote tatizo....na maelezo yake yalikuwa yamenyooka
Rudianeni mimi nataka penzi liende viral niitwe aunt, ila uache kumuomba wifi pesa sasa!!A.k.a ng'ombe ya simanjiro🤓😀
Issue sio kuomba hela, bali unaombaje afutatu? 😅Rudianeni mimi nataka penzi liende viral niitwe aunt, ila uache kumuomba wifi pesa sasa!!
Mwanaume sifa yake kutoa sio kuomba 😂😂😂
Kuna IDs kila muda zinapetipetiana kimahaba kama Me na Ke, maajabu kila post 24/7 ziko active, JF nyoso
Hapo sawa 🤗Dozi ninayompa, hawezi fikiria kwenda popote mkuu. Ukiona akaondoka, basi labda nijiharibie mwenyewe 😎😎
Sio kweli 😅Nili toa mbona , na mjadala uka fungwa 😀
Akina Juniors bhana, je wakionana afu Ke akiwa na sura "reception" personal itakuwaje sasaKazama, anamjua? Yani huu mtindo wa kushobokea ID ovyo kuna mtu tutasikia amepigwa pipe.
Yani wanashindwa hata kuomba pm zifunguliwe ili wakamwage sera zao huko, wanaishia kukata viuno majukwaani. Huu ni Uzi kama wa 10 wa dizaini hii.
Itabidi nianzishe kampeni ya kuwaomba wadada wa humu wafungue pm zao, madogo wana weweseka sana.
Rudianeni mimi nataka penzi liende viral niitwe aunt, ila uache kumuomba wifi pesa sasa!!
Mwanaume sifa yake kutoa sio kuomba
I swear, na ndo day nili ambiwa nikaushe for the sake of no further shits 😀😂Sio kweli 😅