siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
salaam wana jamiiForum,,,
no more 2 say..thank GOD for everything
no more 2 say..thank GOD for everything
salaam wana jamiiForum,,,mimi ni kijana niliye na akili TIMAMU....naomba msaada wa tsh 80,0000/=
ili niweze kulipa ada ya usajili chuo kikuu cha Dar es Salaam...mimi sio mlemavu,,nina uwezo
wa kutafuta pesa lakini naomba msaada nikiwa na akili zangu timamu,,,nina sababu maalumu
kuomba msaada,,,yeyote atakaeona naigiza,,SITOKUBALIANA NAE,,,kuhusu maisha yangu ni story ndefu
kwa sasa niko DAR ES SALAAM,,,0658 204496 is my number
Ze dudu,,utamjua tunjoo hapa malindi pande za moshi utaipata tu kiulaini