Love ni kila kitu, huleta furaha ya ajabu ama majonzi na majuto yasiyoweza kufutika kirahisi ktk ubungo wa mhusika kama ametendwa. Ni kitu complex sana ambacho huitaji ufahamu wa juu sana wa mahusiano na uelewa na bahati pia ili kuwa na maisha ya amani na furaha. Ni kama zawadi nzuri ya duniani kwa wale waliobahatika kuwa na mahusiano mazuri na mapenzi ya kweli, na kilio kwa wale wa upande wa pili.
is all you can dream and think about! i.e ukidream kuwa na care na heshima kwa mkeo thats what will hapen, love is the most wonderful gift from heaven,we were created out of love to sho love!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.