To all Women SEXY or not!

To all Women SEXY or not!

Erotica

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2012
Posts
2,513
Reaction score
1,735
Siku ya wanawake duniani haitabadilisha lolote tusipobadilisha attitude zetu dhidi yetu wenyewe wanawake. Ni hayo tu.
379808_2940392639951_1565244312_3100442_832816997_n.jpg


Mwaaaaaaaah kwa wanawake wote! :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Erotica mapacha wazima?
Nimeipenda hiyo!
 
Last edited by a moderator:
womens.jpg
[h=5]God created Man first… but… he wanted to create something better… Guess what! He created a woman! Happy Women's day[/h]

 
Nilisoma mahali kwamba,

When men find out that they slept with the same woman, they just cheer up,

But when women realize that the shared a man, lazima zipigwe tu hata kama hawana bukta....

Kwa vyovyote vile,

Happy women's day kwa wamama wote na mabinti zetu...

Babu DC!!
 
Mhhhh! Pretenders!!!!!




Siku ya wanawake duniani haitabadilisha lolote tusipobadilisha attitude zetu dhidi yetu wenyewe wanawake. Ni hayo tu.
379808_2940392639951_156524431  2_3100442_832816997_n.jpg


Mwaaaaaaaah kwa wanawake wote! :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Last edited by a moderator:

Kazi ya mikono ya (propaganda) wanaume hiyo!
Most of us mean it when we compliment another person, sio mwanamke pekee.
It is in men's interest IMO when women fight with each other na ndio maana wengine wanaongeza wake ili kuwe na competition itakayopelekea mwanaume kuwa treated like kagod.
 
When men find out that they slept with the same woman, they just cheer up,
Babu DC!!

Really babu, ukigundua jemba lingine linamsalua bibi utacheer up?
Hizi propaganda za wanawake kutopendana na wanaume 'kupendana' zimefanya kazi kweli.
 
Really babu, ukigundua jemba lingine linamsalua bibi utacheer up?
Hizi propaganda za wanawake kutopendana na wanaume 'kupendana' zimefanya kazi kweli.


Ndugu yangu Kaunga,

Mimi nimesema kuwa nilisoma mahali....please read again...

Na sikuongeza kitu......unadhani naamini hivyo?

Halafu sidhani kama ile quote ililenga mke/mume....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Najua huamini hivyo; sikutaka idea kama hizo zipite bila kupingwa si unajua kuna vitoto kibao vinapokea tu vitu like empty jug.

Ndugu yangu Kaunga,

Mimi nimesema kuwa nilisoma mahali....please read again...

Na sikuongeza kitu......unadhani naamini hivyo?

Halafu sidhani kama ile quote ililenga mke/mume....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Najua huamini hivyo; sikutaka idea kama hizo zipite bila kupingwa si unajua kuna vitoto kibao vinapokea tu vitu like empty jug.

Ni kweli dada yangu...

Kuna vitoto vinameza kila kitu bila hata kutafuna...

Ni jambo bora kuwaweka sawa...

Babu DC!!
 
Kazi ya mikono ya (propaganda) wanaume hiyo!
Most of us mean it when we compliment another person, sio mwanamke pekee.
It is in men's interest IMO when women fight with each other na ndio maana wengine wanaongeza wake ili kuwe na competition itakayopelekea mwanaume kuwa treated like kagod.


My love, inapokuwa idadi ni kubwa kwa matendo fulani ktk kundi

hiyo ndio huwa defining trait kwa kundi. Hao wengi wanao oneana wivu

wanafanya sie wachache ambao we mean it tutolewe kwenye hesabu!
 
Siku ya wanawake duniani haitabadilisha lolote tusipobadilisha attitude zetu dhidi yetu wenyewe wanawake. Ni hayo tu.
379808_2940392639951_1565244312_3100442_832816997_n.jpg


Mwaaaaaaaah kwa wanawake wote! :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Wanaume wakigundua wametembea na mwanamke mmoja wanacheka, wanawake wakigundua wametembea na mwanaume mmoja wanapigana.
 
Siku ya wanawake duniani haitabadilisha lolote tusipobadilisha attitude zetu dhidi yetu wenyewe wanawake. Ni hayo tu.
379808_2940392639951_1565244312_3100442_832816997_n.jpg


Mwaaaaaaaah kwa wanawake wote! :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
ujumbe wa haja haswaaaa
 
Back
Top Bottom