Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
unaweza kushangaa jogoo kauchuna mpaka saa nne asubuhi hajawika!
Ndo ungejua hupendwi wewe apendwa huyo jogoo.....lol
unaweza kushangaa jogoo kauchuna mpaka saa nne asubuhi hajawika!
hehehe dah! ze fainest bana, mpaka mida hii wameuchuna, lakini tangu ikuje sredi hii nimestopisha PM zote kwanza until faza notis, kaka bora utongoze shoga kuliko kukumbana na hii balaa. mie nazani hii sredi ifungwe tu kwa sababu za kiintelijensia.Hivi zile PM haujarudishiwa bado lol!!!!
kaonane na daktari mkuu, gerentii hauko sawa.Mkuu klorokwin lakini mimi mbona naona kama kifaa kimekaa mwake
Wakuu nimecheka sana nilikuwa sijaona hii kitu duuuuuuuuuuuu Kloroquin na Hashycool u made my YEARS
Duuuh!!! Chura anapenda maji lakini sio ya motoo ...... .:behindsofa:
hivi hakuna option ya kuziba picha......manake am having a hard time....kusoma post za chini when i have to scrolll from top
kamanda tuma CV c/o cheusimangala.
Nimeshajichokea na maisha ya ukimburu,lakini hapo utanisamehe CM.Maana hata unipe pesa zote za deni la DOWANS kwa sharti la kumuoa huyu bado nitakataa!!!
kaonane na daktari mkuu, gerentii hauko sawa.
Duuuh!!! Chura anapenda maji lakini sio ya motoo ...... .:behindsofa:
Mkuu hebu fikiria anakwambia "Honey can i kiss you?" Halfu anakwambia "Look me in my eyes"
Nikigeuka tu kumuangalia, NAPARARAIZ
dah! mauaji si lazima uuliwe kwa bastola au kisu. hii ni aina nyengine ya mauaji.Mkuu hebu fikiria anakwambia "Honey can i kiss you?" Halfu anakwambia "Look me in my eyes"