cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
- Thread starter
- #141
Si dhani kama ni busara kutumia picha ya mtu na kuijaza maneno tena bila idhini yake. Huyu binti na ni PUNGUANI yaani HANA AKILI TIMAMU, Anapatikana Mwanza na anapenda kutembelea maeneo ya Nyakato na Kirumba hasa kwenye Bar. Nikweli ukikutana naye kwa mara ya kwanza atakushangaza kwa mapozi na miondoko yake na hasa jinsi anavyopiga mzinga ingawa hakulazimishi kumpa hela. Anajisifia sana kwamba anapendwa na watu hasa wanaoenda kwa ajili ya kampeni mbalimbali kwamba wanampatia kofia za kuvaa na t-shirt. So sijafurahishwa na jinsi mtoa maada alivyo mpa maneno as if yeye ndo kasema hivyo. Nimelazimika kusema hivyo ili kutoa angalizo kwa wale wasiomfahamu kuwa huyo ni punguani na ukikutana naye usimshangae sana. LAKINI UTAPENDEZWA NA JINSI AMBAVYO ANAPENDA KUKAA SMART.
naomba kujitetea my dear,sina nilichoongeza wala kupunguza,hayo maandishi yote ya blue sio yangu,i mean hivyo vigezo vyake.