Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,958
mwenye masikio na asikie
1- Usilale na Mke wa mtu
Hili ni deni litakaloitesa damu yako milele
2 - Usiwe na mahusiano na Boss wako
Mkigombana utapoteza mapenzi & maisha
3 - Usije kupendana na EX wa mshikaji wako
Akiachwa na msela, ameachwa na Familia🙌
4 - Ndugu yako akikufundisha Kuvua KAMWE usirushe nyavu mtoni kwake
5 - Ukitambulishwa shemeji acha kutaka kuonekana wewe bora kuliko mwana
6 - Kama wewe sio mjomba basi achana na Mashangazi yaliyokuzidi umri👀
7 - Siku zote heshimu hisia zako, Usilale na mwanamke usiemuamini, Kuna makosa ya gharama kubwa kuliko starehe za siku moja
8 - Usitumie hisia sehemu inapohitajika Akili🧠
9 - Tunapambana kila siku lakini mtoaji ni Mungu, Mshirikishe Mungu kwa kila jambo sababu wakati mwingine anasubiri uombe ili upewe👍
1- Usilale na Mke wa mtu
Hili ni deni litakaloitesa damu yako milele
2 - Usiwe na mahusiano na Boss wako
Mkigombana utapoteza mapenzi & maisha
3 - Usije kupendana na EX wa mshikaji wako
Akiachwa na msela, ameachwa na Familia🙌
4 - Ndugu yako akikufundisha Kuvua KAMWE usirushe nyavu mtoni kwake
5 - Ukitambulishwa shemeji acha kutaka kuonekana wewe bora kuliko mwana
6 - Kama wewe sio mjomba basi achana na Mashangazi yaliyokuzidi umri👀
7 - Siku zote heshimu hisia zako, Usilale na mwanamke usiemuamini, Kuna makosa ya gharama kubwa kuliko starehe za siku moja
8 - Usitumie hisia sehemu inapohitajika Akili🧠
9 - Tunapambana kila siku lakini mtoaji ni Mungu, Mshirikishe Mungu kwa kila jambo sababu wakati mwingine anasubiri uombe ili upewe👍