Mema yote yamefutika, ndo maana nasema I got frauded. she is a fraud. this thing of mine is a big failure.I have failed, I am a looser.
I like ratchet and she was a ratchet mess.
Therefore, her ratchetness was the real clincher for me.
ngabu tumesoma kayumba wenzako looh...mi sijaelewa
mara nyingi nakusikia unazungumzia binti wako tu. nilifikiri ur a single daddy!
sina mke wala mchumba ila naweza sema kila mtu ana on feture zake mie when ineed some behaviour good ineed
Niltupia mimba, akanihunt down hadi kazini na mimba yake nikatishiwa kufukuzwa kazi. Mpaka leo sina uhakika hata kama mtoto mwenyewe wangu
ah mkuu usiseme hivo inaumiza ...kaa nae myaongee ,waliogombana wanapatana
oh my goodness. this is the greatest mistake I had ever done, and now it is costing me undoing it. I got frauded big time.
...(PICHU YA PINK), wacha niite hivi, nlikua nimepanga mahali baada ya kumaliza chuo tu. Kuna mdada alikua kamaliza nae chuo. Siku hiyo alikua anaosha vyombo nje huku top yake ikipanda na kuacha sehemu ya pichu ya pink kuonekana kwa nyuma. Dah, mimi huwa mgonjwa sana wa hii rangi hasa ikiwa ndani....
Basi tulianzia hapo na mpaka sasa nampendea hizo rangi za pichu na mambo mengii mazuri ambayo anayo
i.e
Hajipodoi kichina, hajui mambo ya social network hana hata akaunt FB, ni mchapa kazi, msikivu, mvumilivu na anajua kupika vizuri sana. I love her bila kigugumizi.
...(PICHU YA PINK), wacha niite hivi, nlikua nimepanga mahali baada ya kumaliza chuo tu. Kuna mdada alikua kamaliza nae chuo. Siku hiyo alikua anaosha vyombo nje huku top yake ikipanda na kuacha sehemu ya pichu ya pink kuonekana kwa nyuma. Dah, mimi huwa mgonjwa sana wa hii rangi hasa ikiwa ndani....
Basi tulianzia hapo na mpaka sasa nampendea hizo rangi za pichu na mambo mengii mazuri ambayo anayo
i.e
Hajipodoi kichina, hajui mambo ya social network hana hata akaunt FB, ni mchapa kazi, msikivu, mvumilivu na anajua kupika vizuri sana. I love her bila kigugumizi.
...(PICHU YA PINK), wacha niite hivi, nlikua nimepanga mahali baada ya kumaliza chuo tu. Kuna mdada alikua kamaliza nae chuo. Siku hiyo alikua anaosha vyombo nje huku top yake ikipanda na kuacha sehemu ya pichu ya pink kuonekana kwa nyuma. Dah, mimi huwa mgonjwa sana wa hii rangi hasa ikiwa ndani....
Basi tulianzia hapo na mpaka sasa nampendea hizo rangi za pichu na mambo mengii mazuri ambayo anayo
i.e
Hajipodoi kichina, hajui mambo ya social network hana hata akaunt FB, ni mchapa kazi, msikivu, mvumilivu na anajua kupika vizuri sana. I love her bila kigugumizi.
Aisee, pole sana. Of it is any consolation to you, of recent pope amesema about 50% za ndoa za kikristu sio ndoa. Huenda yako sio pia.
Mh.. wewe utaniua na pressure, Ila endelea kuwa hivyo. Nakupenda sana.thenkyu, I wil lv u forever