MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,051
acha yani kazi kwao walioolewa wajijue wanapendwa..
kabisa yani
acha yani kazi kwao walioolewa wajijue wanapendwa..
Teh teh eti hujilipua
bado sijafanikiwa my dear asante sana kwa kunijali kwa hilo ndg yangu hujui ni kiasi gani nimepata faraja....km una ishu nipe tu ndg yangu
Mkuu uandishi wako ujitahidi kuandika kwa paragraph, yaani hapa natumia iPad lakin kazi ninayo kusoma. Au hukupitia enzi za IMLA nini?
Power and money .Nazimia wanaume wenye power na Mwanaume pesa .He is the best sex partner .Nilivyomuona mume wangu for the first time my God damu ilinichemka kuanzia head to toe .Mimi huwaga naringa Sana Halafu old school .Dah Mzungu nilihakikisha he is my husband na nilijua ni wangu uwiiiii.For the first time I initiated sex na Dah u sister do woooote pembeni mwanangu .halafu always nilikuwa na tafuta atakaekuwa baba wa wanangu .I nailed it and it was a home run .Hamna Mwanaume anaweza nitoa Kwake Nimefika na nimempatia watoto waziriiiiiii.I love my husband hakuna ubishi kila nikimtazama machozi yananitoka .Ninavyoandoka hapa machozi yananitiririka
Ngoja nimsemee kdogo, mda mwingi ye yupo jukwaa la siasa.Alinijua nkiwa standard six ye akiwa o-level.Aliwai kumwambia member mmoja wa familia yetu ananipenda akaambiwa mi bado mdogo asubiri.Miaka ikaenda nkaja kukutana nae nkiwa advance ye akiwa kazini aisee kumbe alikua ananifatilia.Bahati nzuri Mungu akishapanga kapanga, alikua anafanya kazi mkoa nlikopangiwa advance.Nakumbuka ilikua visiting day nlikua bwenn nkaambiwa naitwa nna mgeni, nkashtuka ckua na ndugu katika ule mkoa.Nlivoenda nkamkuta na rafiki yake tukasalimiana na kuniomba no. za simu.Story ni ndefu ila alikua na nia pamoja na kumshirikisha Mungu.
Wewe ulibakwa
wewe nini? Unashangaa nini? Hivi unadhani hawa wanaume wa kibongo wana yale mapenzi yenu ya kitamthilia? Watu wako bize na hela, ofcoz upendo upo ila sio katika namna ambayo wanawake wengi wangependa iwe.la haulaaaaa!