badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,097
- Thread starter
- #41
ngoja niwe sirias kidogo:
to be honest kabla sijafikia maamuz ya kumuoa niliyemuoa 2 years ago,nilikua na mahusiano na mwanamke ambae alikua too demanding with no creativity of handling me,inshort she was fake!!
now back to this woman:ni mwanamke simpo,yupo real...anachokiongea ndicho body yake na macho yake yanakiamini na kukifanya....kubwa kabisa sio mlalamishi hata kidogo,she is not negative minded at all (hana muda wa kunihisia vibaya mda wote..hata kama akihisi vibaya atanishauri in a way nitaumia kimoyomoyo and learned something)....
anaridhika na hali yangu ya utajiri na umaskini...ni mchapa kazi,anamawazo ya kifamilia na kupenda watoto,sio mtu wa anasa za kijinga,she is outgoing and have class,hana mashauzi,...
ooops alinipikia na kunifulia nakutake risks zote za kazi na her family (before sijamuoa)...wengine apa utaskia 'nimpikie kwani kanioa'....utasubiri sana!!
by the way LIFE ALL ABOUT TAKING RISKS...INSHORT AMEFANIKIWA KUNIBADILISHA KITU JAPO NAJIJUA NI MKOROFI,MTATA!!
hongera zake jmn,good for her,wenye wachumba weekend hii washajua cha kufanya..lols