Advocate_Silayo
Member
- Aug 5, 2019
- 65
- 93
To all Companies na NGO.....
Mnapotoa tangazo la kazi na kisha watu wakafanya maombi katika hizo kampuni ama taasisi zenu bhasi mkumbuke kuwa mna wajibu wa kuwapa feedback kwamba maombi yako hayakufanikiwa, msipende kuwaacha watu wakiwa kwenye sintofahamu juu ya maombi yao.
Mnapotoa tangazo la kazi na kisha watu wakafanya maombi katika hizo kampuni ama taasisi zenu bhasi mkumbuke kuwa mna wajibu wa kuwapa feedback kwamba maombi yako hayakufanikiwa, msipende kuwaacha watu wakiwa kwenye sintofahamu juu ya maombi yao.