Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 743
who is this guy anayetoa milion 50 kwa wasanii,
Shalai Lai Lai Halilili Hai Lo! Hi Li Ba Lai Hey Hi Li Bai Lo! Hes gettin arab money.
Mkuu Ubungo Ubungo, kwanza asante kutuletea hii humu, jambo hii sio habari ya jukwaa la siasa!, niliwahi kumshauri mode, aanzishe jukwaa la udaku, ili watu wote humu wenye wivu wa kike, wakamalize hasira zao kule!.
Kwa wasio jua, ukijaaliwa kupata pesa, bila kujali umepiga dili gani, then hiyo pesa ukaitumia kufanya mambo mazuri kwa jamii, kama kukapa milioni 50 kale katoto jana pale ukumbini, kuibua vipaji kupitia TMT, kutoa ajira ya kudumu kwa ka Binti Lulu (hata kama pia kana hudumu), yote hiyo ni bringing back to the society as CSR, then Mungu, anasimama na wewe!.
Dawa sio kuleta maumbea humu yasiyo na kichwa wala miguu, dawa ni na wewe do all your efforts, get rich or die trying!.
Thanks.
Pasco.
Mkuu Ubungo Ubungo, kwanza asante kutuletea hii humu, jambo hii sio habari ya jukwaa la siasa!, niliwahi kumshauri mode, aanzishe jukwaa la udaku, ili watu wote humu wenye wivu wa kike, wakamalize hasira zao kule!.
Kwa wasio jua, ukijaaliwa kupata pesa, bila kujali umepiga dili gani, then hiyo pesa ukaitumia kufanya mambo mazuri kwa jamii, kama kukapa milioni 50 kale katoto jana pale ukumbini, kuibua vipaji kupitia TMT, kutoa ajira ya kudumu kwa ka Binti Lulu (hata kama pia kana hudumu), yote hiyo ni bringing back to the society as CSR, then Mungu, anasimama na wewe!.
Dawa sio kuleta maumbea humu yasiyo na kichwa wala miguu, dawa ni na wewe do all your efforts, get rich or die trying!.
Thanks.
Pasco.
Una uwezo mdogo wa kufikiri si kila pesa inatokana na EPA.
hawa jamaa kesi zao ni mbichi tena zimenyooka, we subiri utaona.tmt ndio nini? acha wivu na ukabira wahaya wakiiba kelele nyingi lakini si noma kwa wahindi =manghi, rostam patel wafadhili wakuu ccm na yanga!
ndio hizo wanazigawa sasa na kutaka kupata image nzuri kwa wananchi. wao na kaka yake walipiga huo mzigo, wadogo zao sasa wamesimamishwa kazi geita gold mine baada ya kuiba kama milioni 900 hivi na trend inaonyesha wamezisafirishia kenya kama kaka zao.
ndio hizo wanazigawa sasa na kutaka kupata image nzuri kwa wananchi. wao na kaka yake walipiga huo mzigo, wadogo zao sasa wamesimamishwa kazi geita gold mine baada ya kuiba kama milioni 900 hivi na trend inaonyesha wamezisafirishia kenya kama kaka zao.
Pasco, actually sikuwa naleta umbeya hapa, nimeleta fact za kweli. huyu jamaa na kaka yake wana kesi ya kuiba bilioni kama mbili walizihamishia Diamond Trust tz na kenya, wakazisafishia kwa mafia wa kikenya. kesi yao ipo kisutu pale ya wizi wa mabilioni ya watz ukiwemo na wewe. kama umeiba mabilioni ukatoa milioni 50 hapo umefanya nini mzee, nilichokuwa nawaambia pia ni kuwalart watu, kwasababu wadogo zao hawa jamaa wanafanya kazi mgodi wa Geita gold mine, kesi yao ilianzishwa mahakama ya wilaya Geita kutokana na complication zake ikahamishiwa Dar es salaam inaendelea kushughulikiwa hapa dsm. ninaongea kitu ninachokijua kwasababu nilishakuwa mmoja wapo wa wanaoshughulika na upelelezi wa kesi hizi, hauwezi kuamini walichokifanya.
kuna kesi nyingine moja baada ya kuona wameiba mipesa, walinunua nyumba pale regency walipoona wanafuatwa wakaiuza.ni mafia mkifanya nao kazi kuweni makini na hata kama wanaleta hicho kipindi, wanajisafisha kwa raia tu lakini ukweli utabaki palepale milele kwamba wamekwapua mipesa mingi sana na lazima watatiwa hatiani muda si mrefu God willing.
kuhusu uhaya, sikusema kuwa hao ni wahaya! halafu, kwani mhaya akiiba tusimshughulikie, mchaga akiiba asishughulikiwe, au akiiba asishughulikiwe kwasababu ati wahindi wanaiba kwahiyo na wabobo waibe tu?
tatizo mleta taarifa ajaishibisha ameandika kiumbeumbea sio muwazi ataji majina kama watu walijitokeza kwenye tv huu ni upuuuuuuuuuuuuuuzi