Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,810
- 11,977
Hawa nao ni tawi la ccm, pumba tuHiyo nikweli naunga mkono hoja.
TLS ni tawi la CHADEMA, wanatetea wafungwa watalajiwaHv sasa hlo hatujal
Simbachawene anaingia rasmi kwenye orodha ya watakaoburuzwa mahakamani baada ya ccm kung'olewa bila huruma
TLS ni tawi la chadema ,wanatetea wafungwa watalajiwa
Tatizo kubwa ni ya kwamba, viongozi wetu wanajitoa ufahamu ya kutambua ukweli ya kuwa, nao pia ni mahabusu na wafungwa wajao. Wanafikiri ya kuwa wanawakomoa wapinzani wao kumbe nao wenyewe wanajichimbia shimo la kuingia ndani yake.Mahabusu kufanya kazi kama mfungwa? Kuna wakati hawa viongozi huwa wanajisahau kuwa na wao wanaweza kuwa watuhumiwa na wakapelekwa magereza