Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,799
- 4,195
Chama Cha Wanasheria, (TLS) mnao wanachama wahovyo, ambao wamegeuka.bush lawyers, na kazi yao ni kumobilize magenge ya matapeli, wanazunguka, mgogoro mmoja wa Ardhi hadi mwingine kazi yao ni kukusanya fedha za wahanga, na kuwaingiza kwenye kesi kila uchao.
Matokeo yake watu wanazidi kupoteza Mali na tumaini, na ukweli wanasheria hawa wanaujua, ila hawakomi kuwaibia wahanga.
Naomba TLS itoe tamko la wazi, ili watu wapone. Maana kwa sasa watu wanaibiwa na matapeli ya ardhi, na wanapogeukia mahala pa kuponea; kwa wajuzi wa Sheria, badala waambiwe ukweli waendelee na kazi zao au washitaki Waliowatapeli, kutwa wanawachangishwa fedha kufungua kesi za ardhi ambazo wanafahamu fika wananchi watashindwa.
Hili si sawa hata kidogo. Si sawa kabisa.. sio sawa. TLS property right ni suala la wazi kabisa, tupeni namna tuwashughulikie aina hii ya mawakili.
Matokeo yake watu wanazidi kupoteza Mali na tumaini, na ukweli wanasheria hawa wanaujua, ila hawakomi kuwaibia wahanga.
Naomba TLS itoe tamko la wazi, ili watu wapone. Maana kwa sasa watu wanaibiwa na matapeli ya ardhi, na wanapogeukia mahala pa kuponea; kwa wajuzi wa Sheria, badala waambiwe ukweli waendelee na kazi zao au washitaki Waliowatapeli, kutwa wanawachangishwa fedha kufungua kesi za ardhi ambazo wanafahamu fika wananchi watashindwa.
Hili si sawa hata kidogo. Si sawa kabisa.. sio sawa. TLS property right ni suala la wazi kabisa, tupeni namna tuwashughulikie aina hii ya mawakili.