Facts1
JF-Expert Member
- Dec 23, 2009
- 307
- 28
Katibu Mkuu wa TLP Hamad Tao jana alisema chama hicho kinataka katiba iruhusu serikali tatu madai ambayo tumeyasikia toka kwa chama cha wananchi CUF, je kauli ya Chadema chama kikuu cha upinzani kuhusu serikali tatu ikoje kwanini wanaogopa kuwa wazi kwa hilo au wanasubiri kuona upepo unakoelekea? wanatakiwa wawe jasiri kuongoza mapambano siyo kuogopa.