TLP Tumejipanga kuchukua nchi 2015.

TLP Tumejipanga kuchukua nchi 2015.

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
588
Mikakati tuliyoiandaa sisi wana tlp hakuna wa kutuzuia kuingia ikulu 2015, na tutaichukua nchi hii sisi na ikulu tutaingia mchana kweupe vyama vyote vikituangalia kikiwemo ccm.

Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.

Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........
 
Mikakati tuliyoiandaa sisi wana tlp hakuna wa kutuzuia kuingia ikulu 2015, na tutaichukua nchi hii sisi na ikulu tutaingia mchana kweupe vyama vyote vikituangalia kikiwemo ccm.

Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.

Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........

Mwenyekiti wenu ana sura mbili
 
Mikakati tuliyoiandaa sisi wana tlp hakuna wa kutuzuia kuingia ikulu 2015, na tutaichukua nchi hii sisi na ikulu tutaingia mchana kweupe vyama vyote vikituangalia kikiwemo ccm.

Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.

Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........

Labda sijakuelewa. Kuichukua nchi ndo kufanyaje? na wataichukua nchi gani? kutoka wapi kwenda wapi? Umenifanya nikumbuke maneno ya masaburi dhidi ya wabunge wa ccm wa dar alipowambia wanafikiri kwa kutumia makario.
 
Mikakati tuliyoiandaa sisi wana tlp hakuna wa kutuzuia kuingia ikulu 2015, na tutaichukua nchi hii sisi na ikulu tutaingia mchana kweupe vyama vyote vikituangalia kikiwemo ccm.

Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.

Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........
Nchi gani? au unazungumzia Tawi?
 
Hivi unafikiri Tanzania inachukuliwa?...kwa sasa inapiganiwa, mkoloni mweusi...CCM (RIP), jiulize mnapiganaje, mnapigana na nani, CDM wanafaham mtesaji wa wananchi, wanayo dhamira, wanuwezo, wanauungwaji tele..labda kama mnafikiri nchi inachukuliwa kwa kubebwa kwenye roli, haya tafuteni roli liichukue...
 
hawavumi lakini wamo! ha ha ha ndoto nzuri sana jamani!!Tanzania mwakani lazima turudi na kombe la dunia toka Brazil huku mataifa makubwa kimpira kama Brazil, Spain, England Germany, Italy, Argentina n.k wakituangalia mchana kweupe!!!!
 
NCHI GANI UNAYOIZUNGUMZIA NI AIBU PIA KUWA MWANACHAMA WA tlp
 
Mikakati tuliyoiandaa sisi wana tlp hakuna wa kutuzuia kuingia ikulu 2015, na tutaichukua nchi hii sisi na ikulu tutaingia mchana kweupe vyama vyote vikituangalia kikiwemo ccm.

Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.

Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........

Hii tlp ndiyo kitu gani, ni chama kipya???
 
:majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:
 
Back
Top Bottom