Mikakati tuliyoiandaa sisi wana tlp hakuna wa kutuzuia kuingia ikulu 2015, na tutaichukua nchi hii sisi na ikulu tutaingia mchana kweupe vyama vyote vikituangalia kikiwemo ccm.
Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.
Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........
Moja ya mikakati hiyo ni kuwafunza uadilifu makada wetu.
wakatae rushwa na wasiwe na tamaa ya mali.
Nitaendelea kuwajua mikakati yetu siku baada ya siku, TLP lazima uipende tu ........