tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mratibu wa TK Movement Mkoa wa Kilimanjaro, Ahmed Karia amesema kuwa Umoja wa Vijana wa TK, watamtafutia Rais samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM pamoja na Makamu wake Emanweli Nchimbi Kura za Ndio.
Soma pia: BAWACHA: TK Movement ni Jukwaa la Samia na CCM, hatuhusiki nao.
Akizungumza na Banana Fm katika mahojiano Maalumu Hii leo, amethibitisha Hilo, akisema kwa namna Utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan hawana Budi kumtafutia Kura za Ndio, ili akamilishe Maendeeo anayoyafanya Mkoani Kilimanjaro na Tanzania kwa Ujumla.
Soma pia: BAWACHA: TK Movement ni Jukwaa la Samia na CCM, hatuhusiki nao.
Akizungumza na Banana Fm katika mahojiano Maalumu Hii leo, amethibitisha Hilo, akisema kwa namna Utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan hawana Budi kumtafutia Kura za Ndio, ili akamilishe Maendeeo anayoyafanya Mkoani Kilimanjaro na Tanzania kwa Ujumla.