PreGE2025 TK Movement Kagera Yapinga Vikali Upotoshaji Kuhusu Ushiriki wa Wananchi Katika Uchaguzi Mkuu 2025

PreGE2025 TK Movement Kagera Yapinga Vikali Upotoshaji Kuhusu Ushiriki wa Wananchi Katika Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Taasisi ya Taifa Letu, Kesho Yetu (TK) Movement Mkoa Kagera imesema haitakubaliana wala haitamsikiliza mtu yeyote mwenye kuja na kauli za kuwapotosha wananchi kuwa wasishiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2025

Hayo yamejiri katika Kikao cha Wilaya Bukoba DC kilichowakutanisha Viongozi wa taasisi hiyo pamoja na Viongozi wa Kata zote

Akizungumza Mratibu wa Mkoa Kagera Ndg Charlisious Charles aliwataka Viongozi hao kuwa wasikubali kudanganyika kwa maneno yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa watanzania wasishiriki Uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ndugu Viongozi wenzangu, kuna baadhi ya watu ambao wamekuwa wakitoa kauli za kuhamasisha watanzania kutoshiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Kwa niaba ya Kamati ya Uratibu Mkoa Kagera ninaomba kuwaambieni kuwa tuwapuuzeni watu hao kwani hawana nia njema na Amani ya Taifa letu” Amesema Charles .

“Uhuru wa Taifa letu umepiganiwa na watu walitoka jasho na damu, hivyo tusikubali watu wachache watudanganye na kuivuruga amani ya Nchi yetu. Uchaguzi ni takwa la kikatiba ambalo haliwezi kuvunjwa na mtu kwasababu ya sababu zake mwenyewe” Charles amesema.

Screenshot 2025-05-11 195528.png
 
Ushiriki wa uchaguzi utabaki juu ya wananchi wenyewe maana wao siyo watoto wadogo wa kuamuliwa cha kufanya na viongozi, wanajua umuhimu wa kupiga kura kwahiyo hao wanao waambia wasishiriki uchaguzi watawaeleza sababu zao waachwe wawaeleze tu. Kisha wanaotaka wananchi washiriki uchaguzi pia waambie kwanini wanatakiwa kushiriki uchaguzi kisha wananchi wataamua wenyewe.
Kwani wakiamua kushiriki watashikiliwa majumbani mwao kwa nguvu wasiende kupiga kuna?
Na wakiamu kutoshiriki watavutwa kwa nguvu wakapige kura?
 
Kwani hao ni zaidi ya ccm inayoteka watanzania wenzao baada ya kuzidiwa hoja?

Mambo mengine ni ujinga tu!
 
Taasisi ya Taifa Letu, Kesho Yetu (TK) Movement Mkoa Kagera imesema haitakubaliana wala haitamsikiliza mtu yeyote mwenye kuja na kauli za kuwapotosha wananchi kuwa wasishiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2025

Hayo yamejiri katika Kikao cha Wilaya Bukoba DC kilichowakutanisha Viongozi wa taasisi hiyo pamoja na Viongozi wa Kata zote

Akizungumza Mratibu wa Mkoa Kagera Ndg Charlisious Charles aliwataka Viongozi hao kuwa wasikubali kudanganyika kwa maneno yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa watanzania wasishiriki Uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ndugu Viongozi wenzangu, kuna baadhi ya watu ambao wamekuwa wakitoa kauli za kuhamasisha watanzania kutoshiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Kwa niaba ya Kamati ya Uratibu Mkoa Kagera ninaomba kuwaambieni kuwa tuwapuuzeni watu hao kwani hawana nia njema na Amani ya Taifa letu” Amesema Charles .

“Uhuru wa Taifa letu umepiganiwa na watu walitoka jasho na damu, hivyo tusikubali watu wachache watudanganye na kuivuruga amani ya Nchi yetu. Uchaguzi ni takwa la kikatiba ambalo haliwezi kuvunjwa na mtu kwasababu ya sababu zake mwenyewe” Charles amesema.

View attachment 3331226
Alivyovaa tu huhitaji hata kusikiliza anayoongea..tunawaambia kila siku nguo km hizo zenye jina la mtu au picha yake zinasemewa maneno..mkristo anayefahamu neno la Mungu hawezi kuvaa ujinga huo kamwe au kuruhusu mke, binti au mtoto kuvaa nguo km aliyovaa huyu bwege! ngoja wakati wa kafara ukifika mtatia akili!
Katiba imevunjwa hata haihesabiki..kufanya uchaguzi km ushahidi kwamba na sisi tnafanya uchaguzi bora kutofanya kabisa tukubaliane tu wanaotawala waendelee hadi Mungu atakavyoamua vinginevyo..mim niko radhi kabisa kuliko kupoteza watu, pesa, muda na utu kwa kiini macho cha uchaguzi!
 
Ushiriki wa uchaguzi utabaki juu ya wananchi wenyewe maana wao siyo watoto wadogo wa kuamuliwa cha kufanya na viongozi, wanajua umuhimu wa kupiga kura kwahiyo hao wanao waambia wasishiriki uchaguzi watawaeleza sababu zao waachwe wawaeleze tu. Kisha wanaotaka wananchi washiriki uchaguzi pia waambie kwanini wanatakiwa kushiriki uchaguzi kisha wananchi wataamua wenyewe.
Kwani wakiamua kushiriki watashikiliwa majumbani mwao kwa nguvu wasiende kupiga kuna?
Na wakiamu kutoshiriki watavutwa kwa nguvu wakapige kura?
mie siendi kupiga kura.

imagine mie napiga kura yangu moja, alafu mwingine anakuja na begi la kura.

sasa huo ni uchaguzi au uchafuzi?
 
Siku hizi kuna taasisi nyingi😃😃😃🤣
 
Taasisi ya Taifa Letu, Kesho Yetu (TK) Movement Mkoa Kagera imesema haitakubaliana wala haitamsikiliza mtu yeyote mwenye kuja na kauli za kuwapotosha wananchi kuwa wasishiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2025

Hayo yamejiri katika Kikao cha Wilaya Bukoba DC kilichowakutanisha Viongozi wa taasisi hiyo pamoja na Viongozi wa Kata zote

Akizungumza Mratibu wa Mkoa Kagera Ndg Charlisious Charles aliwataka Viongozi hao kuwa wasikubali kudanganyika kwa maneno yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa watanzania wasishiriki Uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ndugu Viongozi wenzangu, kuna baadhi ya watu ambao wamekuwa wakitoa kauli za kuhamasisha watanzania kutoshiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Kwa niaba ya Kamati ya Uratibu Mkoa Kagera ninaomba kuwaambieni kuwa tuwapuuzeni watu hao kwani hawana nia njema na Amani ya Taifa letu” Amesema Charles .

“Uhuru wa Taifa letu umepiganiwa na watu walitoka jasho na damu, hivyo tusikubali watu wachache watudanganye na kuivuruga amani ya Nchi yetu. Uchaguzi ni takwa la kikatiba ambalo haliwezi kuvunjwa na mtu kwasababu ya sababu zake mwenyewe” Charles amesema.

View attachment 3331226
Chama Cha siasa kinachohamasisha watu wasiende kupiga kura ni chama kinachoongozwa na matapeli na vibaka wa siasa
 
Chama Cha siasa kinachohamasisha watu wasiende kupiga kura ni chama kinachoongozwa na matapeli na vibaka wa siasa
Kwani ni lazima kupiga kura? kura yenyewe unapiga halafu anakuja mpuuzi anahamisha kura yako anampa mwingine ambae haujamchagua.
 
Taasisi ya Taifa Letu, Kesho Yetu (TK) Movement Mkoa Kagera imesema haitakubaliana wala haitamsikiliza mtu yeyote mwenye kuja na kauli za kuwapotosha wananchi kuwa wasishiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2025

Hayo yamejiri katika Kikao cha Wilaya Bukoba DC kilichowakutanisha Viongozi wa taasisi hiyo pamoja na Viongozi wa Kata zote

Akizungumza Mratibu wa Mkoa Kagera Ndg Charlisious Charles aliwataka Viongozi hao kuwa wasikubali kudanganyika kwa maneno yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa watanzania wasishiriki Uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ndugu Viongozi wenzangu, kuna baadhi ya watu ambao wamekuwa wakitoa kauli za kuhamasisha watanzania kutoshiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Kwa niaba ya Kamati ya Uratibu Mkoa Kagera ninaomba kuwaambieni kuwa tuwapuuzeni watu hao kwani hawana nia njema na Amani ya Taifa letu” Amesema Charles .

“Uhuru wa Taifa letu umepiganiwa na watu walitoka jasho na damu, hivyo tusikubali watu wachache watudanganye na kuivuruga amani ya Nchi yetu. Uchaguzi ni takwa la kikatiba ambalo haliwezi kuvunjwa na mtu kwasababu ya sababu zake mwenyewe” Charles amesema.

View attachment 3331226
well done Tanzanians Patriots 💪👊
 
Back
Top Bottom