ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,414
- 5,279
Huyu jamaa nimemtaza ni mchezaji mzuri mno
Ana kila kitu ambacho namba 8 anatakiwa kuwa nacho
Naona simba walijichanganya
Unamwachaje Shiboub fundi unabaki na Kahata
Jamaa ni fundi haswaa ana akili ya mpira sana
Nikimtazama kama KDB mtupu
Simba mrudisheni huyu mwamba
Pale simba hakuna namba 8 kama Shiboub awe Mzamiru, kanoute gakuna mchezaji atafikia kipaji cha Shiboub
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana kila kitu ambacho namba 8 anatakiwa kuwa nacho
Naona simba walijichanganya
Unamwachaje Shiboub fundi unabaki na Kahata
Jamaa ni fundi haswaa ana akili ya mpira sana
Nikimtazama kama KDB mtupu
Simba mrudisheni huyu mwamba
Pale simba hakuna namba 8 kama Shiboub awe Mzamiru, kanoute gakuna mchezaji atafikia kipaji cha Shiboub
Sent using Jamii Forums mobile app