Ilikuwaje Shiboub akafeli Simba?

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,414
5,279
Huyu jamaa nimemtaza ni mchezaji mzuri mno

Ana kila kitu ambacho namba 8 anatakiwa kuwa nacho

Naona simba walijichanganya

Unamwachaje Shiboub fundi unabaki na Kahata

Jamaa ni fundi haswaa ana akili ya mpira sana

Nikimtazama kama KDB mtupu

Simba mrudisheni huyu mwamba

Pale simba hakuna namba 8 kama Shiboub awe Mzamiru, kanoute gakuna mchezaji atafikia kipaji cha Shiboub

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili una wew shibob alipata dili Algeria akuachwa bali alimaliza mkatba wake uwe unafatilia..ipo siku utasema Larry aliachwa
 
Viongozi wa Simba wanajali 10% tu kwakuwa wanategemea ajira.

Kiongozi wa mpira anatakiwa awe mtu mwenye pesa zake.

Ndiomana kapteni anasajiriwa kila mwaka kwakuwa anatoa 10% bila shida kwa Mango Kimambi na wenzake.

Utamwanzaje kumwambia Shibobo akupe 10%?
Nadhani nimeeleweka
Hili ndilo lililo mwondoa Okra na Shibobu.
Na Fransis Kahata.
 
  • Shiboub alipokuwa Simba alikuwa anakata pumzi mapema sana sijui hata kwa sababu gani.
  • Simba walikuwa wanapenda sana kumtumia kama kiungo mkabaji badala ya kiungo mshambuliaji nafikiri hili nalo lilisababisha aonekane wa kawaida sana.
 
Viongozi wa Simba wanajali 10% tu kwakuwa wanategemea ajira.

Kiongozi wa mpira anatakiwa awe mtu mwenye pesa zake.

Ndiomana kapteni anasajiriwa kila mwaka kwakuwa anatoa 10% bila shida kwa Mango Kimambi na wenzake.

Utamwanzaje kumwambia Shibobo akupe 10%?
Nadhani nimeeleweka
Hili ndilo lililo mwondoa Okra na Shibobu.
Na Fransis Kahata.
Shiboub km sikosei alimaliza mkataba na alipata deal nje ya bongo.
 
Back
Top Bottom