Titanic sunk by steering mistake, author says

Mbona tunaambiwa hiyo meli ndio ilikuwa inafanya safari yake ya kwanza,hizo ajali za mara kadhaa vipi tena?.
 
Kuna meli ilikuwepo kabla ilikuwa ikiitwa olimpio na titanic ilijengwa kufuata class ya meli hyo,hvyo zilikuwa zikifanana na class ni sawa na model kwenye magari
 
Ukiingia deep zaidi yule tajiri mwenye meli hyo ali cancel kusafir safar hyo pamoja na familia yake wakat ile ilikuwa ndo maiden voyage pia yule captain alikuja kujiua kesi ilipoanza
na taarifa zaid ni kuwa kipind kile kulikuwa na strike ya steam workers hv unafikir wangewapata wapi watu wa kuichochea meli na ni intensive labor jibu ni kuwa wafanyakaz wa ile meli ya zamani ndio waliotumika kwa kutishwa kupoteza ajira zao ikiwa watagoma
 

Mh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…