Titanic sunk by steering mistake, author says

Sasa mbona kuna wengine walikufa hata hawahusiki na hayo maneno ya kufuru, huyu mungu kwakweli bhana dah!
 
... Inasikitisha kwa uzembe kama huu!!

... Hatua zichukuliwe kwa walioficha ficha taarifa hivi!

Hata MV Bukoba ilikuwa uzembe kama huu huu tena na kuzidi.

Ku overload meli na watu pamoja na mizigo kliko uwezo wake.

Ilisemekana ilipokuwa imeleta shida, kuna jamaa anaitwa Genji, mwenye boats zina vusha abiria kamanga ferry, aliomba boat zake zisaidie kuvuta meli hiyo ili itoke kwenye kina kirefu isogee kwenye kina kifupi cha maji isije kuzama. Lakini sijui kwa hofu gani, viongozi walikataa wakasema kuna wataalamu wanakuja toka Dar wako njiani watakuja kuishughulikia.

Wataalamu hauo walippfika, meli inazama, wakatoboa eti sijui ndiyo wapate namna ya kuwaokoa raia ama vipi!. Kutoboa huko ndiko ikawa balaa ya meli kuingiza maji na kuzama kwa kasi hadi hayo yakatupata Watanzania!

Uzembe wa MV Bukoba. Lakin haikusemwa nayo!.
 
Sasa mbona kuna wengine walikufa hata hawahusiki na hayo maneno ya kufuru, huyu mungu kwakweli bhana dah!

Titanic yenyewe ni kufuru, upo juu / ndani ya kufuru halafu huhusiki na kufuru?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Aaaah janamke la nguvu Hilo, siku moja ntakualika BBC kwa mahojiano tofaut tofauti
 
Titanic yenyewe ni kufuru, upo juu / ndani ya kufuru halafu huhusiki na kufuru?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ninyi wafia dini ndio tatizo lenu hilo kila kitu mungu, hapo nikama ajali ya gari dereva kalewa gari imeanguka, watu wamekufa pia mtasema mipango ya mungu, inashangaza!
 
mtu mzima unaandika 'yeeuuwi', bando unananuliwa au? ila haina tatizo, ndio maisha uliyochagua hayo
We unaliwa ninii? Sasa unataka niandike unachotaka wewe, unataka kumpangia mtu maisha yake jinsi ua kuishi, shit get busy mtoto wa kiume, yeuwiiiiiiiiiiiiiie auwiiiiiiiiiuiiiiiie yeuwiiiiiiiiiiiiiiiie kelewiiuiiiiiiiuuuuiii
 
Pia tujiulize,je ajali ilipangwa kwa faida gani/ya nani?ukizingatia gharama ya hiyo meli ni kubwa mno.
 
Sio kweli yule Bibi hakuwepo kwenye iyo meli bali ni muigizaji tu kama walivyo waigizaji wengine na kuna filamu nyingi tu amecheza filamu yake ya mwisho amecheza mwaka 2004 kabla ya kifo chake kwa ugonjwa wa cancer mwaka 2010, Hakuwepo kwenye meli bali alikuwa ni Muigizaji tu wa kawaida kama
Sio kweli yule Bibi hakuwepo kwenye iyo meli bali ni muigizaji tu kama walivyo waigizaji wengine na kuna filamu nyingi tu amecheza filamu yake ya mwisho amecheza mwaka 2004 kabla ya kifo chake kwa ugonjwa wa cancer mwaka 2010, Hakuwepo kwenye meli bali alikuwa ni Muigizaji tu wa kawaida kama walivyo wengine, jina lake halisi ni Grolia Stuart.
 
We kalia kusoma na kuamini hiyo official blah blah report yako. powa tu, kama mnavyo kalia kusoma official report ya malaysia airline na september eleven events
 
We kalia kusoma na kuamini hiyo official blah blah report yako. powa tu, kama mnavyo kalia kusoma official report ya malaysia airline na september eleven events
Haya na wewe endelea kuamini ni sababu ya walinzi walikua wanachingulia abiria wakifanya mapenzi wakajisahau wakauona mwamba too late.

Endelea kuamini kua ni mpango wa freemasons au Jesuits au kufuru au whatever you read from blog uchwara kisa tu vimeandikwa kwa English.
 
Ninyi wafia dini ndio tatizo lenu hilo kila kitu mungu, hapo nikama ajali ya gari dereva kalewa gari imeanguka, watu wamekufa pia mtasema mipango ya mungu, inashangaza!

Kila kifo ni mawaidha makubwa kwa wenye kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…