TISS ya Venezuela imemuangusha Maduro

TISS ya Venezuela imemuangusha Maduro

Yani Usalama wa taifa wa Venezuela bure kabisa siyo wazalendo. Wamehusika asilimia kubwa Maduro kukamatwa.

Yani badala ya kumlinda mkuu wa nchi wameacha maadui waende hadi chumbani kwake tena wakiwasindikiza.

Bure kabisa.
Kuna dalili hata wananchi wa Malawi watawasindikiza US Navy mpaka anakojifungia kiremba.
 
Lakini hawawezi kwa kiduku na AYatollah.
Marekani atashindwa kukudaka kama wananchi wako wanakussuport. Kiduku akae vizuri na Raia wake akijifanya ananyuklia huku ananyanyasa raia wake wamarekani wanakunyakua tu.
Kwa tanzania sasa hivi tulivyogawanyika hata kagame akiamua kutufuatilia tutamshindwa. Umoja wa kitafa ndo mlinzi namba moja wa nchi wala so SMG mnazobeba mabegani. Hao TISS wanadhani kuwateka na kuua raia ndo kuimarisha ulinzi wa nchi, hii inafanyakazi kwa muda mfupi sana kwa kiongozi aliye madarakani. Raia wakigawanyika kuhusu matukio kama hayo nchi inakuwa sio salama tena mbele ya maadui wa nje.
 
Lakini hawawezi kwa kiduku na AYatollah.
Kidukiu ana rasilimali gani ambayo itamfanya us aache mambo yake yote amtafute?
Kwa uchumi gani walionao ambao ni tishio kwa Us?

Ayatollah the same story?

Us akufuati kirahis, until utakapogusa maslahi yake
 
Back
Top Bottom