TISS and the Political Conondrum

TISS and the Political Conondrum

What about national armed robbers? or regional armed robbers like Idd Amin who wanted to rob Kagera region as his?
Basically they are not armed robbers they are invaders.
the different is one has long time plan the other has a very short plan and how far the are willing to go to get want want.
 
Kwanza ningependa kueleweshwa Tiss ni idara inayoshughulika na ulinzi wa viongozi au na mambo mengine..? ni heri ikafahamika bayana kuliko kupoteza muda wetu kupiga zogo hapa kwa kitu tusichokijua kiundani!,maana hivi vitu vinaenda na sheria kama hawajaruhusiwa kisheria basi TISS si wa kulaumiwa kama mfikiriavyo.
Wapuuzi tu, yaani eti ukiipinga ccm wanakuletea wasiojulikana, madini yetu, mbuga za wanyama, uchumi wetu unahujumiwa wanaona na hawatake action yoyote. Uchumia tumbo tu. Kila raia abapaswa kubeba wajibu wa kuilinda Tanania, kwanini wao wanadili na upuuzi tu halafu unawatetea eti sheria??
 
Kazi ya kutembelea mitandao ya jamii kama vile facebook, Insta ili kuangalia nani kamsema mtawala vibaya ili wamminye ndiyo kazi ya mashirika ya kijasusi yaliyo muflisi, yanaacha mambo makubwa kama vile Thamani ya kura ya mwananchi, Uhuru wa watu, Demokrasia, Utawala bora, Kulinda rasilimali za nchi, Supremacy ya Katiba, Umakini katika kutunga sheria za nchi, Kupitia mikataba mikubwa kabla ya kusainiwa na kutoa recommendations muafaka, Kufanya Vetting ya maana kabla ya kuwakabidhi watu mamlaka makubwa, Kuspearhead Diplomasia yenye mrengo wa Uchumi, Kuhakikisha Teuzi zinareflect umoja wa kitaifa badala ya muonekano wa udini , ukabila au ukanda, Kuhakikisha kizazi kijacho kinaandaliwa mapema kupokea kijiti cha maendeleo na uongozi wa Taifa, Kusponsor tafiti kupitia taasisi zilizochini ya mwavuli wake ili kusaidia kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Taifa, Kuwalinda watu wote ambao ni potential leaders hata kama ni wa kutoka chama cha upinzani wasidhuriwe maana watu hao muda wowote wananchi wanaweza kuwakabidhi dhamana. Hizo ni baadhi ya kazi adhimu za Mashirika ya Kijasusi duniani siyo kutorture watu au kuwaharibia watu future kwa sababu wanatoa comments dhidi ya mtawala!. Mtawala ni sehemu muhimu ya Taifa lakini siyo Taifa lenyewe, na shirika la Kijasusi lazima liwe ni kwa ajili ya Taifa siyo mtu au chama fulani cha siasa!
Uko sahihi ila sina hakika na wewe km siyo mojawao, kimsingi mwenye uzi huu and the majority of contributors ndo hao tiss wetu
 
Kazi ya kutembelea mitandao ya jamii kama vile facebook, Insta ili kuangalia nani kamsema mtawala vibaya ili wamminye ndiyo kazi ya mashirika ya kijasusi yaliyo muflisi, yanaacha mambo makubwa kama vile Thamani ya kura ya mwananchi, Uhuru wa watu, Demokrasia, Utawala bora, Kulinda rasilimali za nchi, Supremacy ya Katiba, Umakini katika kutunga sheria za nchi, Kupitia mikataba mikubwa kabla ya kusainiwa na kutoa recommendations muafaka, Kufanya Vetting ya maana kabla ya kuwakabidhi watu mamlaka makubwa, Kuspearhead Diplomasia yenye mrengo wa Uchumi, Kuhakikisha Teuzi zinareflect umoja wa kitaifa badala ya muonekano wa udini , ukabila au ukanda, Kuhakikisha kizazi kijacho kinaandaliwa mapema kupokea kijiti cha maendeleo na uongozi wa Taifa, Kusponsor tafiti kupitia taasisi zilizochini ya mwavuli wake ili kusaidia kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Taifa, Kuwalinda watu wote ambao ni potential leaders hata kama ni wa kutoka chama cha upinzani wasidhuriwe maana watu hao muda wowote wananchi wanaweza kuwakabidhi dhamana. Hizo ni baadhi ya kazi adhimu za Mashirika ya Kijasusi duniani siyo kutorture watu au kuwaharibia watu future kwa sababu wanatoa comments dhidi ya mtawala!. Mtawala ni sehemu muhimu ya Taifa lakini siyo Taifa lenyewe, na shirika la Kijasusi lazima liwe ni kwa ajili ya Taifa siyo mtu au chama fulani cha siasa!
Umejuaje kama hayo uliyotaja hawayafanyi : hv unajua maana ya kushaur? Kumbuka ushaur unaweza kukubalika au kukataliwa: so acha kuwatuhum kwa usilolijua ! Mtawala anaweza akapewa ushaur Fulani akaukataa na akamfanya jambo kwa kufuata akili zake kama zilivyomtuma.
 
Wapuuzi tu, yaani eti ukiiping ccm wanakuletea wasiojulikana, madini yetu, mbuga za wanyana, uchumi wetu unahujumiwa wanaina na hawatake actiob yoyote. Uchunia tumbo tu. Kila raia abapaswa kubeba wajibu wa kuilinda Tanania, kwanini wao wanadili na upuuzi tu halafu unawatetea eti sheria??
Basic need namba moja kwa kila mwanadam duniani kote ni kuchumia tumbo.
 
Wapuuzi tu, yaani eti ukiipinga ccm wanakuletea wasiojulikana, madini yetu, mbuga za wanyama, uchumi wetu unahujumiwa wanaona na hawatake action yoyote. Uchumia tumbo tu. Kila raia abapaswa kubeba wajibu wa kuilinda Tanania, kwanini wao wanadili na upuuzi tu halafu unawatetea eti sheria??
Tuliza jazba utapata tabu kunielewa na ukumbuke hii ni nchi sio mkusanyiko wa watu!.. mambo ya nchi yanataratibu zake.. hapa tutapigizana zogo la ujinga kama hatutajua majukumu yao kisheria ili tujue wapi wanakosea.
sitopenda kuendelea na mjadala huu bila kujua majukumu wanayopaswa kuyatekeleza TISS,alasivyo utakuwa ni mjadala wa kijinga.
 
All nations are built by heroes

Heroes who agree to be at the sideline of history.Fallen heroes whose name and praises can never be celebrated.People whose identity shall go into oblivion.

I am looking at the Tanzanian Intelligence Agency with their marvel and outstanding performance and I am left with only one question....What is their role in whatever is going on now.

Yes.As a nation we are at the point where everything is not what it is nor what it seems to be and people need answers to questions that should never have been asked in the first place.

My question today is on the role of our security machineries in the current political conondrum

I remain to be corrected

PBK
I can't follow what you have written...sorry!
 
They sold their souls to the devil. Simple. "kuishi kama mashetani.. "
 
Back
Top Bottom