namwaka sasa siingizi dole kumani na nipo safii,
fanya ivi,
1.ukienda kuoga chuchumaa chukua kitambaa laini na sabuni.
2.paka kitambaa sabuni na kiloweshae na maji.
3.pitisha kwenye K . hadi kwenye 07 yani fanya kama unaosha au unasugua kwa kutoa uchafu.
4.chukuwa maji safi osha ukiwa hivyo hivyo umechuchumaa
usisahau wakati wa kukojoa uwe unaenda na maji safi au WET WIPES.Nakuhakikishia hautakaa unuke papuchi.