Tips-jinsi ya kusafisha uke

Kwa hiyo kidole kisiingie ndaniii tusafishe juu au ?????
 
Kuna tetesi kwamba kuosha uke sana kwa sabuni au kujiingizia vidole kuna uwezekano wakupata maradhi makubwa na kama nikweli sasa basi ni njia zipi za kusafisha uke bila kupata madhara naombeni majibu wakuu karibuni

Hizo tetesi zaweza kuwa kweli au La!

UNACHOTAKIWA KUFANYA:-Ni kuingiza only kidole kimoja, uwe umekata kucha zako vema kabisa, uzungushe ilo dole lako ndani ya pango kwa upole na uone dole latoka likiwa safi.

Siyo uingize vidole vyako kama ulivouliza... afu uanze kusikilizia utamu...huku una-tepeat! Aaa, huo hauttakuwa usafi...bali unatafuta matatizo.

Tumi mkono wa kushoto, nyoosha vidole vya kiganja chako vyote vitano....alafu kunja kidole kimoja cha katkat kama ishara ya kumpiga mtu dole, na uzamishe icho kidole kunako....umaanishe usafi. Ingiza, zungusha mara mbili alafu toa, jimwagi maji na sabuni....uko fresh. USIINGIZE SABUNI AU POVU LAKE TUNDUNI. Usafi huu ni mara moja tu kwa siku. FINE.
 

Asante mzee wa dole
 
haiwezekeni kutenganisha usafi wa uke na unywaji wa maji ya kutosha,matunda na mboga mboga(foods rich in Fibre).Mazoezi nayo ni muhimu ingawa hayana impact ya moja kwa moja na na usafi wa uke.
Hali kadhalika usafi wa uke unahusishwa kuwa na mpenzi mmoja tu na si kutoa fursa ya kuingiza kila mtu katika hazina yako!
 
Unaingiza ila kiwe kisafi na kuwengine wanashauri usiingize kabisa sasa sijui lipi tufate

Maaana ni kidole kiwe kisafi na uoshe na maji tu bila sabuni,sasa tusipopaosha si patakua shidaaa
 

Sawaaaa
 
Usiingize vidole wala kuweka chochote ukeni, zaidi ya sabuni ya kipande tu tena hizi za kawaida kabisa sio zote kuna zingine ni majanga,usiweke sabuni moja kwa moja ukeni ni hatari, osha vizuri maeneo ya juu fua chupi na ukiweza ibadili hata mara 4 kwa siku. hii inatosha, zaidi ya hapo unataka matatizo.

kuhusu smel + muwasho, just see dokta only atakupa ushauri na sio kutumbukiza midole huko, sijawahi sitowahi. magonjwa haya kinamama tunasababisha wenyewe, mi hata wakinishauri sifanyi, mlio kwenye ndoa hamna hata haja ya kuingiza midole unapokutana na ... anasaidia kutoa uchafu kuliko kuweka vidole na hatimaye kupata kansa ya kizazi nk.

mtu atasema oh. sasa c uchafu ukiwa na babaa zen anatoa uchafu, uchafu ule haunuki hata kidogo labda kuwe na ugonjwa au tatizo lingine, so mwache autoe yeye maana hiyo ni njia salama pia, koz ile ndude inakibali maalumu cha kuingia huko ndani, unaisafisha tu zen ...

usiweke vidole, asali, kachumbali, wala viungo vya pilau huko mahala. shauri yako.
 
Maaana ni kidole kiwe kisafi na uoshe na maji tu bila sabuni,sasa tusipopaosha si patakua shidaaa

Kuna harufu ya uchi ambayo inatakiwa tuwe nayo labda ukiingiza unakatoa hako kaharufu na kukaribisha fungas
 

Na vipi kale kaharufu kaasili ambako tunatakiwa tuwe nako hua kakoje maana mi nasikiaga tu
 
Aisee kutoa au kutotoa harufu ni maumbile tu ya mwanamke mwenyewe.

Mimi nina girlfriend wangu ambaye ndio nataka kumuoa, huwa hatoi harufu kbs, yani hata kuzama uvinzani nilianzia kwake, mtoto wa kike hatoi harufu yoyote na sijawahi kuona akifuata tips zozote kujiweka safi.

Mnaotoa harufu ni zao la maumbile yenu tu yenye asili ya kondoo pori.

Period.
 

Nimependa ulivyojibu kwa kuongezea kwa sisi wafanyakazi tunaotoka nyumbani asubui na kurudi usiku tujitahidi huko tunapokua badi ukienda haja ndogo ukimaliza nawa na maji safi alafu jifute kwa tishuu nzuri (sio zile ambazo zikiingia maji tu zinakua uji ili zisije zikakatikia ukeni) hapo utakua salama sana. Sasa wadada unashinda kazini asubui mpaka jioni kwa uchache unakojoa mara 2 hujioshi unajidamganya kwa kujifuta ikifika jioni lazima utoe harufu na hili joto. Piga hesabu mwezi mzima kila siku unashinda mazingira hayo na hali hiyo kwanini usiugue UTI? Usinuke? Kwanza chupi yenyewe lazima zitengeneze rangi ya njano katikati zinakua mbaya hata ukifua unatafuta pa kuanika.

Jamani jiosheni kwa kutumia maji safi mnapoenda haja alafu jifute na kitu kisafi utakua salama.

N.B
Usitumie tissue zenye harufu au wipes tumia maana mmeamua kusaidiana na watoto.
 

Na wanaume wanaopenda kuingiza vidole vyao kwenye K wawapo kwenye maadalizi ya kudinyana,hawawezi kusababisha bacteria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…