tindikali inapatikana wapi

Status
Not open for further replies.

Thanks,this is very useful indeed,hemu gusia kidogo aina ya reaction inayotokea mtu akimwagiwa tindikali.

Water+what+acid»nini?

Na yale makovu ni living cells kweli?
 
Sangarara unauliza suala kwa kutaka kujua au una utafiti unaoufanya kwenye haya matukio ya kumwagiwa tindi kali?
Kwa maelezo yako unaifahamu tindi kali na kama ulifika kidato cha sita utakuwa unafahamu njia za kuitengeneza, kwani naona watu wanajaribu kukuelewesha lakini masuala yako mengine yanashindwa kupatiwa majibu unayotaka wewe
Kwa majibu yangu mepesi ni Serikali kuwatafuta hao wanaotumia tindi kali kwa matumizi yasiyokubalika katika jamii ni kuwatafuta na wakipatikana ni kuwapa adhabu kali
Serikali ina mkono mrefuna ikiwa kweli watakuwa wanawahitaji hao wahalifu sioni kama kweli wanaweza kukosekana kukamatwa vyenginevyo hatuko tayari kulipatia ufumbuzi suala hili la tindi kali
watoto wa mjini wanasema upepo utapita na tutatafuta jengine baada ya hili
 
Nakubaliana sana na y-n, maji makali ya betri c hatari kiac hicho, yakiingia machoni ukichelewa kuosha na maji ya kawaida kuna uwezekano mkubwa wa kutoona tena na jicho lote linakuwa jeupe, lakini kwenye ngozi mf. Ukitia mkono wote kwenye maji ya betri hata usiponawa na maji ya kawaida baada ya kukauka mkono utabakia umepauka tu, na cio kuungua' tindikali wanayotumia polisi kumwagia watu cio maji ya betri' ila viwandani huwa zinatumika aina za tindikali kuyeyushia aina za vyuma, yaani tindikali ni sawa na moto ambao upo ktk hali ya kimiminika' inategemea na kiwango cha hiyo tindikali husika'
 
maji ya betri ni acid ambayo hiyohiyo ndo inaitwa tindikali, lakini hii acid itumikayo kwenye betr ina nguvu ndogo xana tofauti na ile wanayotumia ccm' mb: maji ya betr yapo ya aina 2, kuna maji makali/acid na maji baridi/ distilled haya unaweza hata kuyanywa kama una kiu' ni maji ya kawaida ambayo utayarishaji wake hayajagusana na kitu chenye asili ya chuma.
 
Sio kweli kwamba acid ya betri ya gari inaweza kuleta madhara makubwa kwenye ngozi! Lakini machono inaweza kupofusha! Nakumbuka niliwahi kukatwa na chupa sehemu ya juu ya sikio nilijimwagia acid water ya betri ili kukata damu! Na miaka ya 90 tukiwa kijiweni tulitumia acid water kusafishia spare chakavu ili zionekane mpya tena! inatoa kutu na kwasababu itang'arisha kwa muda na baadae kujenga kutu tena hivyo tulipaka mafuta mazito na kushikisha wanaopenda cheap!
 
Thanks,this is very useful indeed,hemu gusia kidogo aina ya reaction inayotokea mtu akimwagiwa tindikali.

Water+what+acid»nini?

Na yale makovu ni living cells kweli?


Mkuu selli hai za binadamu zinaundwa na complex proteins ambazo formula zake yataka kusomea darasani kuzifahamu zote.Huko sikuwezi kwakweli mkuu siwezi kudanganya.Lakini main product ya reaction ya sulphuric acid na organic compounds huwa ni solid Carbon. (C)

Kwa undani zaidi nafikiri uki-search google kwa undani zaidi.
 

Tena hayo MAJI YA BETRI wanayosema ikimwagiwa hata kwenye nguo na ikawahiwa kwa kuchovya kwenye maji safi wala haiathiriki. Watu wanachanganya sana, haya betri wala hayana ukali huo wanaojaribu kudanganyana hapa.
 
Tena hayo MAJI YA BETRI
wanayosema ikimwagiwa hata kwenye nguo na ikawahiwa kwa kuchovya kwenye
maji safi wala haiathiriki. Watu wanachanganya sana, haya betri wala
hayana ukali huo wanaojaribu kudanganyana hapa.

senkyu elot!
sred klozd again..!
 
Hawa wanadhuru watu wanatumia acid inayotumika kama paint remover, hiyo paint remover inatumika kuondoa rangi yote kwenye gari linabaki bati lagari tu. Na rangi yote inadondoka yenyewe kama pumba hiyo hata ngozi inaondoa,haishikwi na mkono bali gloves na hombo maalumu kwa tahathari kubwa.wauza rangi za magari wanaijua hii.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…