tindikali inapatikana wapi

tindikali inapatikana wapi

Status
Not open for further replies.
Mimi nilifikiri suala hapa ni kwamba Acid is concetrated or diluted na siyo kua ni Nitric, Sulphuric, Hydroclolic etc. Kama ni conc ukubwa wa madhara yake uko palepale bila kujali hayo majina. Hii ya battery za magari ninauhakika itakua siyo conc lazima ni diluted acid japo inaunguza, chukua mwagia kwenye nguo yako uone. Pia katika battery za magari tusichanganye hapa, kuna yale maji yanayoongezwa kwa battery ambayo ni ''baridi'' yenyewe si makali (distilled water) yapo kwenye container za 1Litre haya unanawa hata uso wako bila shida. Ninafikirii hata hizo wanazomwagiwa watu zitakua ni hizi diluted Acid, kwa conc acid nashindwa kuimagine hali ingekua vipi.


Nakubaliana kabisa na wewe mkuu, lakini naona umeshindwa kunielewa kitu kimoja ingawa wote tunaongelea kitu kimoja. Acid yenye sifa ya kuwa Highly Corrosive (Inayoweza kutoboa/kuchimba nyama/metal) ni Nitric Acid ingawa concentration inamata nakubali, Sulphuric acid inaunguza lakini haichimbi. Mwenye Taaluma ya Biochemistry atakubaliana na mimi juu ya matumizi ya sulphuric acid kama dehydrant (Inafyonza maji) katika organic compounds zikiwepo Carbohydrates na seli hai za binadamu au kwa maana nyingine inasifa ya kuchoma maana kukausha maji kwenye kitu ni kuchoma si ndiyo??
 
Mkuu unamaanisha muda wooote tunazungumzia acids zinazouzwa garage na kuongezwa kwenye betri za magari we were singing for the dogs?

I dont get you, if you go through my two posts in this thread you ll come to know that we are in the same line. We are all discussing the battery acid, but I was trying to make our discussion wide that, there is also this distilled water added to the same battery.
 
Wewe utakuja kutuletea matatizo wewe,

Kwa hiyo unapinga uwezekano wa betri za magari kuwa zinatumika kudhuru watu?

Alafu hizo chemicals kwenye mbolea zinaacha udongo wetu salama kweli?


Samahani kwa kuchelewa kujibu mkuu, namalizia Game la Man U na Wigan nitarudi soon Mkuu wangu.
 
Wadau msitiririke sana kuna watu humu wataenda itumia vibaya
 
Nakubaliana kabisa na wewe mkuu, lakini naona umeshindwa kunielewa kitu kimoja ingawa wote tunaongelea kitu kimoja. Acid yenye sifa ya kuwa Highly Corrosive (Inayoweza kutoboa/kuchimba nyama/metal) ni Nitric Acid ingawa concentration inamata nakubali, Sulphuric acid inaunguza lakini haichimbi. Mwenye Taaluma ya Biochemistry atakubaliana na mimi juu ya matumizi ya sulphuric acid kama dehydrant (Inafyonza maji) katika organic compounds zikiwepo Carbohydrates na seli hai za binadamu au kwa maana nyingine inasifa ya kuchoma maana kukausha maji kwenye kitu ni kuchoma si ndiyo??

Zote mbili nitric acid na sulfuric acid zikiwa conc zinachoma ngozi. Sulfuric acid ndiyo rahisi kupatikana kwa sababu ya maji ya betri. Haya mambo ya kumwagiwa acid yameshafanyika sana nchi zingine mfano pakistani na wanatumia kemikali hizo hizo. Kumbuka anayetaka kukufanyia kitu kibaya atakufanyia tuu hata kama hakuna tindikali. Atakuchoma kisu, atakupiga tofali kichwani, atakukorogea sumu kwenye chakula au kinywaji, atakupiga risasi, n.k. Serikali isikurupuke tuu kuanza kufungia maji ya betri na kuleta bugdha kwa wananchi ambao wanatumia maji ya betri bila ya kuumiza watu.
 
Wewe utakuja kutuletea matatizo wewe,

Kwa hiyo unapinga uwezekano wa betri za magari kuwa zinatumika kudhuru watu?

Alafu hizo chemicals kwenye mbolea zinaacha udongo wetu salama kweli?


Sipingi mkuu, Sulphuric acid ndiyo inayotumiwa na hawa wahuni kufanya ujinga wao maana hiyo Nitric acid hata madukni zinazouzwa kwaajili ya maabara na mashuleni utakuta zimekuwa diluted to 68-70% ukitaka ile fume ya 95% concentration ni mpaka kwa kibali maalum maana ni silaha ya kivita kabisa hiyo. Nimeangalia haraka haraka yale majeraha ya wale waingereza naona ile ni Sulphuric acid maana wameungua na kuwa weusi ingekuwa nitic majeraha yangekuwa mabaya zaidi.


Kuhusu hizi kemikali kwenye mbolea wala usihofu mkuu, kiwango kinachotumika ni mujarabu kwa kazi husika kwenye udongo ingawa kwasasa wataalamu wanahimiza kutumia mbolea Organic na kuachana na hizi za viwandani.
 
Samahani kwa kuchelewa kujibu mkuu, namalizia Game la Man U na Wigan nitarudi soon Mkuu wangu.

I will wait,last time nimechungulia man u aliishapiga mtu moja.

Note that I am ready to shift my attention kwenda kwenye issue ya mbolea,pestides and insectisides sababu nilikuwa nasoma mahala nakukuta zinasababisha madhara makubwa kwenye udongo kuliko hata hawa watu wachache wanaomwagiwa tindikali.
 
Highly corrosive ni Nitric Acid, hii Sulphuric Acid ya kwenye magari inaunguza tu lakini si corrosive. Tatizo la ajira kwa vijana wasomi soon na hii nitric acid itaanza kupatikana kama pipi.Hii ni mbaya zaidi na kwa kemia ndogo tu mtu anaweza kuitengeneza kutoka kwenye mbolea za NPK na Ammonia (Nitrogenous fertilizers). Siwapi desa msije sema nafundisha ugaidi bure.
unasema haiunguzi haya kanunue halafu ujimwagie mkononi
 
How did I forget elecrosis,you have made me feel very stupid real.naomba nisikuulize kwa nini sulphuric acid ni preferable kuliko solutions nyingine hasa kwa sababu za kikemia,ukipenda sio mbaya kutuweka sawa wananchi wenzako.

Lakini nikikumbuka electrosis sioni ni kitu gani huwa kinafanya watu wanunue acid kurefill,au kuna electroplanting inayofanyika pia?

Alafu,hili swala la watu kumwagiwa,naona kama huwa kuna reaction huwa inatokea kati ya mwili na hiyo acid kiasi kwamba baada ya muda reaction inaicha sababu ya acid kuisha na hivyo kuzuia madhara zaidi? Ni sawa? Na je ni sawa watu wanaotishiwa kumwagiwa tindikali wakianza kutembea na alkali ili kunetralize pale wanaposhambuliwa?


Mkuu na mimi nimeanza kusahau ni siku nyingi kidogo na mbaya zaidi elimu ya juu nimesomea kitu kingine ingawa hakipo mbali sana na haya mambo. I stand to be corrected nitakapochapia, Unajua ili umeme uzalishwe lazima ziwepo positive na negative Ions (Sijui kwa kiswahili tunaitaje hili). Sasa Sulphuric acid tendency yake ya ku-vunjikavunjika (Dissociation) na kutoa positive (H+) na Negative (So4 2-) ni ya haraka na inachukua muda mrefu kuisha.Uwepo wa hizi ions mbili ndiyo unapelekea flow of electrons.And flow of electrons generates electricity. Samahani kwa kuchanganya lugha kiswahili kwenye hii fani ni kigumu kutumika.

Sasa kwanini most prefable ni Sulphuric acid jibu ni kwamba dissociation process yake last longer that the rest na hivyo inauwezo mkubwa wa kuzalisha umeme kwa Electrolysis process kwa muda mrefu zaidi ya kemikali nyingine.

Electroplating ni product ya electrolysis lakini hii madhumuni yake ni kwaajili ya metal plating hasahasa wanaitumia katika ku-cover vitu mbalimbali vya chuma kwa kutumia steel (madini ya bati sijui kwa kiswahili tunaita hivyo?) ili zisipate kutu kwa haraka.
 
unasema haiunguzi haya kanunue halafu ujimwagie mkononi


Mkuu Highly Corrosive maana yake siyo kuunguza, ni kutoboa au kuchimba. Sulphuric Acid inaunguza tena vibaya sana tu wala siyo ya kukaa karibu nayo.Nitric acid licha ya kuunguza lakini inakula na nyama kabisa(Inachimba).
 
I will wait,last time nimechungulia man u aliishapiga mtu moja.

Note that I am ready to shift my attention kwenda kwenye issue ya mbolea,pestides and insectisides sababu nilikuwa nasoma mahala nakukuta zinasababisha madhara makubwa kwenye udongo kuliko hata hawa watu wachache wanaomwagiwa tindikali.

Game limeisha mashetani wameshinda 2-0 so wamenyanyua ngao yao. Nadhani nimekujibu Mkuu si ndiyo?
 
Lakini hata kama sio kali kihivyo sasa naanza kuona kwamba bado zinaweza kutumika pia,sababu acid ikikutana na maji kunakuwa na reaction flani na ukumbuke mwili wa binaadamu ni asilimia 98 maji.

Hata hizi incidences za watu kumwagiwa na kupona zinasababishwa na hiyo acid iliyommwagikia muhanga kuwa kuwa zimetumika zote au kuwa diluted au kutengeneza kitu kingine kabisa hapo kwenye ngozi ama sivyo ikimwagwa kwa wingi inaweza kutoboa hata fuvu and you know what that means!! Hivyo naona tusiignore kwa sababu ya dilution yake unless maexpert waje na advanced opinion.

Maji ya Betri hayana madhara makubwa kwa nje ya mwili wa Binadamu kibaya zaidi labda yakiingia machoni hilo ni noma kwa nje ya Mwili yanawasha tu ukinawa kwisha habari yake.... kitu noma ni Nitric acid au Sulfuric Acid. Acid mwana hata kama umefungiwa gereza lenye nondo unanyunyuzia tu nondo inayayuka kwa reaction yake... Miaka ya nyuma ilikuwa ni easy upatikanaji wake na wezi waliitumia sana sasa kwa hali hii mambo yanaweza jirudia...

Hata James bond alishawahi itumia hii kwenye Movie zake baada ya kuwekwa lupango...
 
Mkuu Highly Corrosive maana yake siyo kuunguza, ni kutoboa au kuchimba. Sulphuric Acid inaunguza tena vibaya sana tu wala siyo ya kukaa karibu nayo.Nitric acid licha ya kuunguza lakini inakula na nyama kabisa(Inachimba).
Tuangalie context mkuu...swala hapa ni upatikanaji wa hizi acid na jinsi gani zinahatarisha maisha ya binadamu...iwe ina unguzi inachoma inakula nyama yote hayo ni madhara kwa binadamu hoja ya sangara ni namna gani serikali inaweza kudhibiti uingizaji wa tindi kali hizo...lazima uelewe context mnyamwezi wa urambo mji usio na barabara ya lami richa ya kuwa na viongozi shupavu wenye ushawishi wa siasa kitaifa! by the way mimi niliwahi kaa tabora mjini, ila sijaenda kitambo sana siupendi ule mkoa, nilisoma uyui, namkumbuka marehemu mzee amiri muuza mihogo, ntalali, mabungo mwembeni mwehu mwajuma ringa, malingumu, disco isungu muungano mesi, tabora hotel
 
Hapo alikua anawaonyesha mbwembwe kidogo ili mjue ukiwa mwanasayansi anything can happen na ilikuwa nje ya topic bila shaka na lazima mwalimu alikuwa kijana at that time
Mwalimu Amasi huyo mwaka alikuwa kijana wa makamo hivi alikuwa ana mbembwe haswa... anakuambia wewe kamata kibiriti wewe shika karatasi itakayochomwa n.k then anamwambia mtu shika hii chupa lakini acid ikikumwagikia sihusiki watu wan akataa then anasema msiogope dah jamaa watu walikuwa hawadoji kipindi chake...
 
Ndugu yangu unaonekana una knowledge ndogo sana ya mambo... yale maji ya betri ndiyo yanaipa betri nguvu ya ku ignite engine...ni highly corrosive nenda dukani yanauzwa sh 3000 nunua halaf weka kwenye nguo uone ukali wake...sasa kama yanaweza kuyeyusha nguo je mtu akimwagiwa usoni inakuwaje? serikali haiwezi kudhibiti uuzaji wa acid ya gari kwa sababu matukio mengi ya kumwagia watu tindikali yanakuwa na motives fulani hata kisu nyumbani kinaweza kuwa silaha tu na kuuwa na huwezi kusema serikali idhibiti visu visiuzwe

sio nguo zote zina athirika acid ya betri za gari bali inatokana na materials iliyotumika kutengenezea nguo husika mfano cotton inaliwa vizuri na maji ya betri lakini polyster hata uloweke hailiwi ng'oo.
then huwezi linganisha acid ya betri za gari na acid wanazo mwagiwa hao jamaa. Acid ya betri la gari ni user-friendly kabisa unaweza hata ishika na isilete madhara (mimi nimefanya biashara ya kuchaji betri za gari kushika yale maji ni kitu cha kawaida kazini) ila sasa ile wanayomwagiwa hao jamaa ni tofauti na ni kali kupindukia. thanks
 
I dont get you, if you go through my two posts in this thread you ll come to know that we are in the same line. We are all discussing the battery acid, but I was trying to make our discussion wide that, there is also this distilled water added to the same battery.
Okay-lakini naona ni kama tumeshindwa kuconclude hata kwenye swala la maji ya betri tu.

Swala la chemicals hatarishi kusambaa hovyo tu mtaani ni hatari sana,kama maji ya betri yanaweza kudhuru watu na kama yanaweza yakawa yametumika kwenye matukio yanamna hiyo hakuna sababu ya kuilazimisha serikali kuwafikisha wakosaji kwenye vyombo vya sheria pekee,bali inawajibika kudhibiti upatikanaji wa chemicals hizo.

Na hii haina tofauti na dawa za kulevya,siraha za moto n.k,tunalazimika kufikiri kwa pamoja kutafuta majibu badala ya kukaa na kulalamika.
 
Tuangalie context mkuu...swala hapa ni upatikanaji wa hizi acid na jinsi gani zinahatarisha maisha ya binadamu...iwe ina unguzi inachoma inakula nyama yote hayo ni madhara kwa binadamu hoja ya sangara ni namna gani serikali inaweza kudhibiti uingizaji wa tindi kali hizo...lazima uelewe context mnyamwezi wa urambo mji usio na barabara ya lami richa ya kuwa na viongozi shupavu wenye ushawishi wa siasa kitaifa! by the way mimi niliwahi kaa tabora mjini, ila sijaenda kitambo sana siupendi ule mkoa, nilisoma uyui, namkumbuka marehemu mzee amiri muuza mihogo, ntalali, mabungo mwembeni mwehu mwajuma ringa, malingumu, disco isungu muungano mesi, tabora hotel


Mkuu we acha tu yaani na ccm kutupiga nyundo lakini mpaka leo mkoa mzima wabunge ni wa ccm, Mimi pia wa Tabora mjini Ingawa mzee wangu ana asili ya Urambo, na nyumbani si mbali sana na Uyui sekondari ni maeneo ya gongoni pale mkuu!Mzee Amiri nimekula sana mihogo yake ya kuchoma, ntalali,mbuguswa,magongoti,mfulu zote nimekula sana mkuu. Bahati Mbaya Malingumu sasa hivi ni marehemu alifariki zaidi ya miaka 10 iliyopita.Isungu kwa sasa kuna Royal club inamilikiwa na ukoo wa Chifu Fundikira (R.I.P). Tabora Hotel iliuzwa kwa Polle yule muhindi/mwarabu maarufu kwa jina la kanyenyera ambaye kwasasa na yeye ni marehemu. Yule jamaa alijitahidi sana kuibadilisha kwa kweli inamuonekanao wa kisasa zaidi siku hizi ingawa kuna Hotel nyingine ya Mchaga ipo opposite na uwanja wa Alhassah Mwinyi ndiyo inakimbiza mjini kwasasa.

Dah!Umenisikitisha sana kusema hauupendi mkoa wangu, tumekukosea nini wanyamwezi mkuu?
 
Tuangalie context mkuu...swala hapa ni upatikanaji wa hizi acid na jinsi gani zinahatarisha maisha ya binadamu...iwe ina unguzi inachoma inakula nyama yote hayo ni madhara kwa binadamu hoja ya sangara ni namna gani serikali inaweza kudhibiti uingizaji wa tindi kali hizo...lazima uelewe context mnyamwezi wa urambo mji usio na barabara ya lami richa ya kuwa na viongozi shupavu wenye ushawishi wa siasa kitaifa! by the way mimi niliwahi kaa tabora mjini, ila sijaenda kitambo sana siupendi ule mkoa, nilisoma uyui, namkumbuka marehemu mzee amiri muuza mihogo, ntalali, mabungo mwembeni mwehu mwajuma ringa, malingumu, disco isungu muungano mesi, tabora hotel

Rihana,sijataka kucheka hapa,sababu kicheko kimeishakwisha,lakini you nearly killed me,nimecheka mpaka maji yakaniingia mapuani au hewa kuingia kwenye duodenum sababu sasa nasikia kifua kinauma. Kwamba urambo inaviongozi shupavu na wenye ushawishi kitaifa....

Thanks for passing the message over what we need to focus on.lakini naona tumeshindwa kupata picha hasa ya wapi hizi chemicals zinapatikana,lakini kama ziko kwenye maduka ya spear za magari we are doomed,tunaishi kwenye bonde la mauti na inabidi wahusika wizara ya afya waanze kuangalia hizi chemicals zao katika social perspective pia badala ya kufocus kwenye technical issues pekee,I believe we we are paying enough taxes to deserve better.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom