Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,347
- 13,140
I need to experiment this now.
Mipango yako kumbe ni kuuliza na kujaribu... ngoja wenye roho mbaya waje wakueleze na ukajikuta umetengeneza bomu ukajifilia mbali shaulizo
I need to experiment this now.
Inawezekana kazi ya acid kwenye betri ikawa ni kuhifadhi charge?
Mkuu una ushahidi kuhusu hayo madai ya Ponda kuhusika na tindi kali?
Lakini hata kama sio kali kihivyo sasa naanza kuona kwamba bado zinaweza kutumika pia,sababu acid ikikutana na maji kunakuwa na reaction flani na ukumbuke mwili wa binaadamu ni asilimia 98 maji.Acid za kwenye berti za magari si kali kihivyo
Huyo teacher wenu alikuwa na mikwara sana,ni lazima tupanue bongo elimu haina mwisho wakina newton waligundua mambo mengi at very old age,keep learning keep learning.Mkuu umenikumbusha acid Teacher wetu wa kemia aliiweka kwenge test tube akaimix sikuambii akatuamia tukae mbali tukasogea huku tukiitizama test tube ilianza kureaction ukafuka moshi then mlipuko uliotokea tulihofu na hatukuona hata kipande cha test tube kilipopotea... Akatuambia hawezi kutufundisha sana kwani tunaweza kuja kutengeneza Mabomu... Practical ndio ikaishia hapo.... ni hatari sana watu wakijafahamu hili... Humu ukiuliza sana watu wanaweza anza kujifunza zaidi nchi itakuwa kwenye dimbwi zito
Hapana mkuu, kama unakumbuka chemistry ya form 3 kuna topic ilikuwa inaitwa Electrolysis. Ni kuhusu uzalishaji wa Energy (umeme) kwa kutumia kemikali za kimiminika.Hii Sulphuric acid inatumika kwenye betri ya gari hilo kutengeneza umeme kama nguvu ya kwanza kuwezesha injini iweze kuanza kuchoma mafuta na kuzalisha nguvu ya kulisababisha gari litembee. Bila hii Acid (Electrolyte) kuwepo basi umeme hauwezi kuzalishwa kwenye betri ingawa pia kemikali zingine zinaweza kutumika alternatively lakini hii acid inazalisha nguvu nyingi zaidi na kwa muda mrefu zaidi ndiyo maana ni most preferable.
Hey hey hey,man.slow down.shut'up..!
Akili zako kama za mama ako.!acha wanaume tujadiliane mambo ya msingi khs masuala ya acid,wewe endelea ku-quote maelezo ya watu na uyatolee arguement na kujifanya grit thinka,ukishindwa kabisa kuja na mawazo chanya,go and refresh ua boy!
Highly corrosive ni Nitric Acid, hii Sulphuric Acid ya kwenye magari inaunguza tu lakini si corrosive. Tatizo la ajira kwa vijana wasomi soon na hii nitric acid itaanza kupatikana kama pipi.Hii ni mbaya zaidi na kwa kemia ndogo tu mtu anaweza kuitengeneza kutoka kwenye mbolea za NPK na Ammonia (Nitrogenous fertilizers). Siwapi desa msije sema nafundisha ugaidi bure.
Delako
We naye mtata,hizo contacts za masupplier wewe za nini? Swali la ziada,report za madaktari na wakemia kwenye matukio haya huwa zinasema aina ya asidi iliyotumika? Sababu kama ni ya kwenye betri nahisi inaweza kutambulika.
Wala sio mtata..huwezi jua yeye anafanya kazi gani..mfano km mimi nimezitumia tangu o level...a level...mpk chuo nimechezea hizo vitu..its all abt science. ..zinamatumizi mbalimbali...ht baadhi ya dawa hizo acid zinatumika...huenda huyo mdau ni laboratory technologist...au ni science teacher...au ni mkemia...zinatumika sehemu kubwa ya science. ..mfano mm nafanya hospitali...sasa utashangaa nikukuambia ht sisi tunazo store...kwa mkemia zipo...maabara mbalimbali zipo pia...so usishangae upatikanaji wake kwa urahisi....ukitaka upewe darasa la acid ni refu tutakesha.....
Kwa hiyo serikali kutoa leseni maalumu za waingizaji na wauzaji wa betri za magari inaweza kusaidia kudhibiti hili tatizo? Ili kila anayetaka kununua betri arudishe hiyo iliyoharika ikikutwa haina tindikali askari wapewe taarifa haraka? Na kisha tuwe na mamlaka inayohusika na kuziharibu.
Mkuu umenikumbusha acid Teacher wetu wa kemia aliiweka kwenge test tube akaimix sikuambii akatuamia tukae mbali tukasogea huku tukiitizama test tube ilianza kureaction ukafuka moshi then mlipuko uliotokea tulihofu na hatukuona hata kipande cha test tube kilipopotea... Akatuambia hawezi kutufundisha sana kwani tunaweza kuja kutengeneza Mabomu... Practical ndio ikaishia hapo.... ni hatari sana watu wakijafahamu hili... Humu ukiuliza sana watu wanaweza anza kujifunza zaidi nchi itakuwa kwenye dimbwi zito
Highly corrosive ni Nitric Acid, hii Sulphuric Acid ya kwenye magari inaunguza tu lakini si corrosive. Tatizo la ajira kwa vijana wasomi soon na hii nitric acid itaanza kupatikana kama pipi.Hii ni mbaya zaidi na kwa kemia ndogo tu mtu anaweza kuitengeneza kutoka kwenye mbolea za NPK na Ammonia (Nitrogenous fertilizers). Siwapi desa msije sema nafundisha ugaidi bure.
Inawezekana kazi ya acid kwenye betri ikawa ni kuhifadhi charge?
Mimi nilifikiri suala hapa ni kwamba Acid is concetrated or diluted na siyo kua ni Nitric, Sulphuric, Hydroclolic etc. Kama ni conc ukubwa wa madhara yake uko palepale bila kujali hayo majina. Hii ya battery za magari ninauhakika itakua siyo conc lazima ni diluted acid japo inaunguza, chukua mwagia kwenye nguo yako uone. Pia katika battery za magari tusichanganye hapa, kuna yale maji yanayoongezwa kwa battery ambayo ni ''baridi'' yenyewe si makali (distilled water) yapo kwenye container za 1Litre haya unanawa hata uso wako bila shida. Ninafikirii hata hizo wanazomwagiwa watu zitakua ni hizi diluted Acid, kwa conc acid nashindwa kuimagine hali ingekua vipi.