tindikali inapatikana wapi

Status
Not open for further replies.

Rihana
Hii ni namna pana zaidi ya kulizungumzia,lakini binafsi nachangia kwa sababu najina kuwa vulnerable pia directly au indirectly,ndio maana niko concerned zaidi,mimi wale mabinti sio issue sana sababu kwanza nahisi hata wao walijisababishia matatizo kule zanzibar.

Turudi kwenye tindikali.unaonaje hii. Kwamba mafundi makenika wote wawe certified ,wauzaji wote wa betri wawe licensed,alafu certified makenika's pekee ndio waruhusiwe kununua hizo betri.not sure how much helful this could be!!
 

kuhusu ulinzi wa Obama,huo ni mfano tu ninaojaribu kufananishia ulinzi mkali wa hzo acid,na wala siwezi kufuta kauli kwa ninayoyasema kwani nina uhakika na niyaandikayo hapa.
Nikikutajia aina moja ya acid na ukaenda kumuuliza daktari kuhusu hyo acid,wallah nakuapia,utaozea jela!lazima utashindwa kujibu maswali yatakayofuatia..na ndio maana ulinzi wake nikaufananisha na wa Oby
 

This is a new twist.
Kwa hiyo unamaanisha kwamba hakuna uwezekano wa tindikali zilizo kwenye betri za magari kuwa zinatumika na hawa wahalifu? Lakini rihana amedai kwamba huwa simeandikwa kabisa concentrated.shine more light pls.
 
.................,ni kwenye laborary zetu hizi mashuleni,ni kutoka kwa mkemia mkuu,au wapi? Na hasa matumizi yake zaidi ya huko laboratory ni yepi?........................



Mkuu mawazo yako yamekaa kishule zaidi, ni kama vile ulitegemea ziweko kwenye Laboratories za Chemistry au kwa mkemia mkuu pekee. Kule Laboratories za shule tunachanganya chemicals mbalimbali kama sehemu ya masomo yetu, lakini huku duniani hivyo vitu viko kwenye matumizi kama mahospitalini, viwandani na zingine kuuzwa maduka ya spare za magari na kutumiwa hata na wale ambao hizo Laboratory hawazijui.

Mfano mafundi wengi wa garage za magari wanazinunua hizo acid ''maji ya betri makali'' zinawekwa kwenye battery za magari kuongeza nguvu ya battery kuwasha injini ya gari. Hapa cha msingi ni matumizi tu ya hizo acid yamepindishwa kama ambavyo yanavyoweza pindishwa matumizi ya kitu kingine chochote.
 
Acid za kwenye berti za magari si kali kihivyo
 

Shule imekuwa sio real life sikuhizi? Lakini kuna mtu wa pili sasa anasema acid ya kwenye betri za magari haiwezi kuwa inatumika kwenye haya mashambulizi sababu haina ukali wa kutisha namna hiyo,sasa inayotumika ni ipi? Ni ya mkemia wa serikali?
 
Acid za kwenye berti za magari si kali kihivyo

maji ya betri hayana madhara sana juu ya ngozi though ni very dangerous internally,kama vile kwenye meno na kwenye utumbo.
kuna acid ni hatari na zina ulinzi mkali wa kimyakimya,ukiuliza tu,unadakwa.!labda iwe kimagendo kwani uadilifu hakuna kwa viongozi wetu.

sred klozd
 

Mkuu mbona unafunga sred kienyeji namna hiyo? Car battery is ruled out,doesn't make part of this.what could it be the likely supplier? Viwanda? Mkemia mkuu?
 
Rihana ,rudi utetee hoja yako,betri za magari zina acidi sawa lakini sio acidi inayoweza kusababisha madhara kwenye ngozi kwa namna inayojurikana mpaka sasa.
 
Sio kukalili bali sikuelezwa.Hivyo unamaanisha tindikali inauzwa na watu hata wasio na utaalamu wa kuihandle? Hii inatofauti gani na hayo maduka kuuza silaha?

By the way tindikali inafanya nini kwenye betri ya gari?

Utaalamu wa nini wakati hapo imeuzwa kama maji ya betry, tindikali kwenye betri si ndio inasababisha betry iwe ina charge maana mfumo wa umeme wa gari unaendeshwa na betri hasa unapowasha na likishawaka wakati engine inazunguuka ina charge ile betry sasa humo kwenye betry kuna process inaendelea kuhusu hiyo acidi
 
Rihana ,rudi utetee hoja yako,betri za magari zina acidi sawa lakini sio acidi inayoweza kusababisha madhara kwenye ngozi kwa namna inayojurikana mpaka sasa.

Maji ya betry ni makali mkuu wewe just imagine ukivaa jeans tu kama betry limekugusa kidogo na pale ni unyevu tu baada ya muda inachanika, sasa sembuse maji yenyewe umwagiwe usoni mkuu, jaribu tu kuchua maji ya betry uone kazi yake ilivyo na ndio maana unaona hata hao waliomwagiwa acid wapo vile na kama ingekuwa acid unayoijua wewe nadhani ingewabandua mpaka minofu na kufa palepale (ngozi si ngumu kama tunavyodhani)
 

Inawezekana kazi ya acid kwenye betri ikawa ni kuhifadhi charge?
 

I need to experiment this now.
 


Highly corrosive ni Nitric Acid, hii Sulphuric Acid ya kwenye magari inaunguza tu lakini si corrosive. Tatizo la ajira kwa vijana wasomi soon na hii nitric acid itaanza kupatikana kama pipi.Hii ni mbaya zaidi na kwa kemia ndogo tu mtu anaweza kuitengeneza kutoka kwenye mbolea za NPK na Ammonia (Nitrogenous fertilizers). Siwapi desa msije sema nafundisha ugaidi bure.
 
I need to experiment this now.

Jaribu kiana kwanza kwa kuchukua kitambaa uweke tu kwenye betri usidumbukize kwanza baada ya muda kitachanika na mie majuzi nilikuwa muhanga nigusa shati kwenye betry likachanika, hao kama wangemwagiwa ile pure acid aisee nyama ingeshuka na kufa si unajua muziki wa acid ulivyo mkali, hao wamepigwa na acidi ambayo ipo diluted / maji ya betry
 
Inawezekana kazi ya acid kwenye betri ikawa ni kuhifadhi charge?

Sio mtaalamu sana ila hapo inatumika inaweza ikawa nikatika ya kuzalisha charge si unajua mambo ya chemical reaction, tumetoka shule siku nyingi tangu 1996
 

Mkuu una ushahidi kuhusu hayo madai ya Ponda kuhusika na tindi kali?
 
angalau tumeelimika ambao tulikimbia sayansikimu
 
ndugu umeiwakilisha vizuri sana
 
Mkuu umenikumbusha acid Teacher wetu wa kemia aliiweka kwenge test tube akaimix sikuambii akatuamia tukae mbali tukasogea huku tukiitizama test tube ilianza kureaction ukafuka moshi then mlipuko uliotokea tulihofu na hatukuona hata kipande cha test tube kilipopotea... Akatuambia hawezi kutufundisha sana kwani tunaweza kuja kutengeneza Mabomu... Practical ndio ikaishia hapo.... ni hatari sana watu wakijafahamu hili... Humu ukiuliza sana watu wanaweza anza kujifunza zaidi nchi itakuwa kwenye dimbwi zito
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…