Thanx mkuu kwakunipa hali halisi maana kuliko aende akapoteze muda miaka2 nibora kufanya utaratibu mbadala. Hizi comb naona wanapanga tu bora liende ila mipango thabiti yakuwawezesha vijana kutimiza ndoto zao hakuna.
St Joseph si ndizo hizo University za hovyo! Hivi vyuo vimekuwa vikipokea wanafunzi wa pass hafifu. Achana na Tinde kabisa. Hazina walimu, vifaa, etc, ni shule zote za kataKuna wadogo zangu wawili wamesoma hapo na sasa wapo mwaka wa tatu St. Joseph ya mbezi wakisoma mambo ya Food Technology
Ok. Kwahiyo unanishali nini mkuu? Hao madogo walisoma hapo A level siyo? Walisoma comb zipi mkuu?Kuna wadogo zangu wawili wamesoma hapo na sasa wapo mwaka wa tatu St. Joseph ya mbezi wakisoma mambo ya Food Technology
Asante Mummito. Nadhani sasa kama Tammisemi wataendelea kukataa kuwabadilisha, option iliyopo nikumpeleka private au aende then nianze utaratibu wakumuhamisha kawaida.Hiyo shule naifahamu kwanza ni kukame sana..Mimi pia Mdogo Wangu alichaguliwa hapo PCB nikamuhamisha...sio kwamba hiyo combination haipo ipo ila walimu ndio shida ...!!
Sawa mama naona unawashwa kuchanwaHahaha mr.brainwashed
Unahisi ukitaja dar ndio utakuwa mwerevu sio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Cc invisibleSawa mama naona unawashwa kuchanwa
Ni nzuri Ila Walimu wake WAKALI sanahiyo shule ya kata kwa hiyo combination atasumbuka i tell u
Nimekusoma Bulq. Vipi mazingira yake nawalimu wahiyo comb wanao? Maana wadau wengi humu wameiponda sana. Ila wewe umesema umesoma karibu yake nadhani utakachoniambia kitakuwa chauhakika kwakuwa unaijua vizuri.Hiyo combination IPO kk hyo n shule ya galz na mm nmesoma karibu nayo naipata xana kk pale
Kak kiukwel mazngira ya pale n magumu xana inafika kpind mpk mxoc 2nawasaidia ila kama akiingia na PCB pale usichukie kumuona akifeli coz akuna conducive environment for her kuweza kujixome na practicals coz hiyo combination inahtaji labs xana na pale n majangaàNimekusoma Bulq. Vipi mazingira yake nawalimu wahiyo comb wanao? Maana wadau wengi humu wameiponda sana. Ila wewe umesema umesoma karibu yake nadhani utakachoniambia kitakuwa chauhakika kwakuwa unaijua vizuri.
Nimekuelewa vzr sana. Nakushukuru mno maana umenipa mwanga mpana kwajinsi unavoijua. Siwezi kumpoteza kumpeleka huko hatasiku moja. Ubarikiwe sana.Kak kiukwel mazngira ya pale n magumu xana inafika kpind mpk mxoc 2nawasaidia ila kama akiingia na PCB pale usichukie kumuona akifeli coz akuna conducive environment for her kuweza kujixome na practicals coz hiyo combination inahtaji labs xana na pale n majangaà
Mkuu tatizo ni facilities hamna. A lever muda wamasomo nimfupi mno miaka2 namambo nimengi. Kumpeleka mtoto shule ambayo haina walimu, haina maabara nk alafu utarajie afaulu nisawa nakusubiri mafuriko jangwani.Mwache aende ndo kujifunza namna ya kupambana.... Dogo kama anaweza anaweza tu... Ingekuwa kipimo ni mazingira basi watoto wa town wangekuwa wanapiga one with As masomo yote... Mruhusu aende ili ajue namna ya kujipanga... Mhimu mfuatilie kwa karibu maendeleo yake... Pia angalia waliochaguliwa wamefauluje. Ndo taratibu shule itakuwa kongwe... Angekuwa mtoto wangu au mdogo wangu... Yaani ningefurahi kupelekwa huko. Lazima asome na nidhamu juu!!! Kama hukumuandaa kupambana na hali yeyote lazima uwe na wasiwasi.
Pamojaa xaannnaaaa!!!!Nimekuelewa vzr sana. Nakushukuru mno maana umenipa mwanga mpana kwajinsi unavoijua. Siwezi kumpoteza kumpeleka huko hatasiku moja. Ubarikiwe sana.