denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Vita uji, TP Mazembe mtori, watu wanajinywea tu, wanatakiwa kutuliza vichwa wajenge upya vikosi vyao.
Vita kupata draw away kwa Al Ahly kumbe ilikuwa ni bahati tu, walitakiwa kufa sio chini ya goli nne ni vile tu washambuliaji wa Ahly hawakuwa makini, leo Vita katandikwa nyumbani kwake na muarabu 3-0.
Hao Mazembe nao mbele ya Mamelodi Sundowns hawana chao, wanahitaji muujiza kushinda away kwa wale wasauz wanaopiga mpira kama hawana akili nzuri, nionavyo viwango vya hizi timu mbili za Congo vimeanza kushuka.
Vita kupata draw away kwa Al Ahly kumbe ilikuwa ni bahati tu, walitakiwa kufa sio chini ya goli nne ni vile tu washambuliaji wa Ahly hawakuwa makini, leo Vita katandikwa nyumbani kwake na muarabu 3-0.
Hao Mazembe nao mbele ya Mamelodi Sundowns hawana chao, wanahitaji muujiza kushinda away kwa wale wasauz wanaopiga mpira kama hawana akili nzuri, nionavyo viwango vya hizi timu mbili za Congo vimeanza kushuka.