Mara nyingi ninapoangalia timu yetu ya Taifa ikicheza nawakumbuka sana wachezaji wa zamani. kama hawa wafuatao:-
Idd Pazi, Mohamed Mwameja, Zamoyoni Mogella, Said Mwanga Kizota, Damian kimti, Edward Chumila, Ramadhani Lenny, Hamis Gaga, Madaraka Selemani, George Masatu, Edibli Lunyamila, Ntezi John, Twaha Amidu, Peter Tino, Gebo Peter, Nico Njoole, Deo Njoole, Sekiloji Chambua, Keneth Mkapa, Method Mogella, Mackenzie Ramadhani,Abubakari Salum na wengineo
hivi ingekuwaje kama serikali ingekuwa makini katika michezo enzi hizo kama inavyojitahidi sasa Angalau tungekuwa hata tumeingia kwenye moja ya mashindano barani Afrika
imeshindakana kabisa kutengeneza timu ya Taifa ambayo inaweza angalau kutufurahisha hata kucheza kwenye komba la mataifa ya Afrika mbali na kombe la dunia
Mara nyingi ninapoangalia timu yetu ya Taifa ikicheza nawakumbuka sana wachezaji wa zamani. kama hawa wafuatao:-
Idd Pazi, Mohamed Mwameja, Zamoyoni Mogella, Said Mwanga Kizota, Damian kimti, Edward Chumila, Ramadhani Lenny, Hamis Gaga, Madaraka Selemani, George Masatu, Edibli Lunyamila, Ntezi John, Twaha Amidu, Peter Tino, Gebo Peter, Nico Njoole, Deo Njoole, Sekiloji Chambua, Keneth Mkapa, Method Mogella, Mackenzie Ramadhani,Abubakari Salum na wengineo
hivi ingekuwaje kama serikali ingekuwa makini katika michezo enzi hizo kama inavyojitahidi sasa Angalau tungekuwa hata tumeingia kwenye moja ya mashindano barani Afrika
imeshindakana kabisa kutengeneza timu ya Taifa ambayo inaweza angalau kutufurahisha hata kucheza kwenye komba la mataifa ya Afrika mbali na kombe la dunia
Damian Kimti hakuwa mchezaji wa timu ya taifa ya tz. Halafu siyo kila wa zamani ni wazuri kuliko wa sasa, mfano Twaha Hamidu hakuwa mzuri kumzidi Stephano Mwasika wa sasa kwenye beki 3, halafu angalia vizuri majina yao
Poor assumption. Umesahau hata mataifa mengine yalikuwa na vipaji ambavyo sasa havipo. Linganisho na timu ya zambia ya kipindi hicho, akina lucas simwanza achilia mbali karusha bwalya. Cameroon walikuwepo akina makanack, beye n.k. Acha bana!
Damian Kimti hakuwa mchezaji wa timu ya taifa ya tz. Halafu siyo kila wa zamani ni wazuri kuliko wa sasa, mfano Twaha Hamidu hakuwa mzuri kumzidi Stephano Mwasika wa sasa kwenye beki 3, halafu angalia vizuri majina yao
kwa hili la kumlinganisha twaha hamidu noriega na mwasika sikubaliani na ww hata kdg,Twaha hamidu ilikuwa ni habari nyingine maana alikuwa ni fundi wa kutupa.Angalia jinsi alivyokuwa akikaba,akipanda kwa kasi kushambulia na cross alizokuwa akipiga