Timu ya Manchester United inaelekea kununuliwa na Prince wa Saudi Arabia Mohammad Salman mtuhumiwa wa mauaji ya Khashoggi

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Prince wa Saudi Arabia anayetuhumiwa kutoa amri ya kuuwawa kwa mwandishi wa habari Jamal Khashoggi ametoa ofa ya Bilioni £3.8 , sawa na Trilioni 11.4 za Tanzania, ili kuinunua timu ya Manchester United ya Uingereza

Inasemekana kwamba wamiliki wa timu ya Manchester United wamekuwa wakifanya safari sa kwenda Saudi Arabia kuonyesha dalili za kukubali ofa hiyo, japo kuna maneno kwamba kuhusika kwa Mohammad Salman na mauaji ya Khashoggi kunaweza kukawa kikwazo cha kumuuziatimu hiyo.

Suala la kujiuliza ni iwapo umiliki wa Prince Mohhamad Salman wa Saudi Arabia na tuhuma zake nyingi za mauaji kutaathiri maelfu ya watu kuendelea kuwa mashabiki wa timu hiyo, na iwapo wachezaji watakuwa tayari kujiunga nayo.

Ikiwa wewe mwana JF ni shabiki wa Manchester United, utaendelea kuwa shabiki wa timu hii chini ya umiliki wa huyu Prince wa Saudi Arabia mwenye kutuhumiwa mauaji pamoja na yale ya Khashoggi?

Source: Manchester United 'receive whopping £3.8BN takeover bid' from Saudi Crown Prince Mohammad bin Salman who hopes to tempt Glazers into selling the club before next season
 
Mkuu ile nibiashara wa shabiki wa mpila wa wana shabikia wachezaji na Timu pamoja na kocha wa timu, sio mmiliki hata mashabiki wengi hawawajui wamiliki wa timu zao.....jambo lingine nikwamba washabiki wampila walio wengi hawafuatiliagi siasa kwahiyo Manchester itabaki vile vile wataendelea kuuza tishati zao za Pagbo Rashford nk no matter who owns it.
Prince wa Saudi Arabia anayetuhumiwa kutoa amri ya kuuwawa kwa mwandishi wa habari Jamal Khashoggi ametoa ofa ya Bilioni £3.8 , sawa na Trilioni 11.4 za Tanzania, ili kuinunua timu ya Manchester United ya Uingereza

Inasemekana kwamba wamiliki wa timu ya Manchester United wamekuwa wakifanya safari sa kwenda Saudi Arabia kuonyesha dalili za kukubali ofa hiyo, japo kuna maneno kwamba kuhusika kwa Mohammad Salman na mauaji ya Khashoggi kunaweza kukawa kikwazo cha kumuuziatimu hiyo.

Suala la kujiuliza ni iwapo umiliki wa Prince Mohhamad Salman wa Saudi Arabia na tuhuma zake nyingi za mauaji kutaathiri maelfu ya watu kuendelea kuwa mashabiki wa timu hiyo, na iwapo wachezaji watakuwa tayari kujiunga nayo.

Ikiwa wewe mwana JF ni shabiki wa Manchester United, utaendelea kuwa shabiki wa timu hii chini ya umiliki wa huyu Prince wa Saudi Arabia mwenye kutuhumiwa mauaji pamoja na yale ya Khashoggi?

Source: Manchester United 'receive whopping £3.8BN takeover bid' from Saudi Crown Prince Mohammad bin Salman who hopes to tempt Glazers into selling the club before next season

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ile nibiashara wa shabiki wa mpila wa wana shabikia wachezaji na Timu pamoja na kocha wa timu, sio mmiliki hata mashabiki wengi hawawajui wamiliki wa timu zao.....jambo lingine nikwamba washabiki wampila walio wengi hawafuatiliagi siasa kwahiyo Manchester itabaki vile vile wataendelea kuuza tishati zao za Pagbo Rashford nk no matter who owns it.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa, lakini kwa kuwa sasa itajulikana nani ni mmiliki wa Machester United hili litakuwa na impact kwa mashabiki. Hao wamiliki wa timu nyingine wasiojulikana ni suala jingine - jambo usilojua ni sawa na usiku wa giza. Hebu fikiria kama Khashoggi angekuwa rafiki yako au ndugu yako, wewe ungeendelea kuchabikia MU chini ya umiliki wa huyu Prince? Kwa hiyo wapo watu ambao wanaguswa sana na matukio kama mauaji ya Khashoggi ambao nakwambia watachukua uamuzi mgumu.

Ona kwamba hata wamiliki wa Manchester United wanasita kumuuzia timu huyu Prince kwa sababu hizo hizo za Khashoggi. Sasa mbona hawasemi hii ni biashara, inapendwa pesa yake tu?
 
Naelewa, lakini kwa kuwa sasa itajulikana nani ni mmiliki wa Machester United hili litakuwa na impact kwa mashabiki. Hebu fikiria kama Khashoggi angekuwa rafiki yako au ndugu yako, wewe ungeendelea kuchabikia MU chini ya umiliki wa huyu Prince? Kwa hiyo wapo watu ambao wanaguswa sana na matukio kama mauaji ya Khashoggi ambao nakwambia watachukua uamuzi mgumu.

Ona kwamba hata wamiliki wa Manchester United wanasita kumuuzia timu huyu Prince kwa sababu hizo hizo za Khashoggi. Sasa mbona hawasemi hii ni biashara, inapendwa pesa yake tu?
Wangekua hawataki kumuuzia wansinge pokea hiyo offer wangemkatilia mapema, walisha kubali wanataka ku check public reaction katika hilo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wachezaji wazuri watakuwa tayari kununuliwa na Prince Salamn pamoja na rekodi yake hii ya mauaji?
Mpira ni biashara sio siasa!... Juve alipata skendo akashushwa daraja na bado wachezaji wakubwa walibaki nae. So hao wachezaji wakikubali kujiunga na Manyure sio wanaenda kuuliwa na wao!..
Halafu hana record ya mauaji, ana skendo ya kutoa amri ya mauaji (skendo na record ni vitu tofauti).

Ila Man U na mashabiki zao mizinguozinguo tuuuu!!!... kama huyu Shunie
 
Ewaaa! Sasa unakubaliana na uzi wangu, kwamba watu wanaweza kuisusia MU ikinunuliwa na Prince, na hata wauzaji wanajua hilo!
Sawa kuisusua sio rahisi, kwasababu mashabiki wengi Man u ni fanaticals hawana sababu ya kwanini wa na shabikia Man u, wengi wanatoka (LDCs) hapa kwetu niwale walio kuja mjini hivi karibuni wanafuata mkumbo tena wengine ni washamba wa kutoka vijijini na town slums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Kama ningelikuwa shabiki wa hawa wajomba wala hakuna tatizo...ingawa sijafurahishwa na mauaji hayo..


Mkuu, PRO American wapo wengi tu humu, wataliafiki tu, ni ndugu yao huyo 😂😂😂
 
Wachezaji wa siku hizi wanaangalia pesa tu, hayo ya dunia yatajihangaikia...
 
Labda atakuwa share holders tu, ile timu ni ya wananchi aisee kama unavyoiona simba na yanga ile sio Chelsea.
 
Sawa kuisusua sio rahisi, kwasababu mashabiki wengi Man u ni fanaticals hawana sababu ya kwanini wa na shabikia Man u, wengi wanatoka (LDCs) hapa kwetu niwale walio kuja mjini hivi karibuni wanafuata mkumbo tena wengine ni washamba wa kutoka vijijini na town slums

Sent using Jamii Forums mobile app
Umechangia kimhemko mpaka unakosea spelling
 
Prince wa Saudi Arabia anayetuhumiwa kutoa amri ya kuuwawa kwa mwandishi wa habari Jamal Khashoggi ametoa ofa ya Bilioni £3.8 , sawa na Trilioni 11.4 za Tanzania, ili kuinunua timu ya Manchester United ya Uingereza

Inasemekana kwamba wamiliki wa timu ya Manchester United wamekuwa wakifanya safari sa kwenda Saudi Arabia kuonyesha dalili za kukubali ofa hiyo, japo kuna maneno kwamba kuhusika kwa Mohammad Salman na mauaji ya Khashoggi kunaweza kukawa kikwazo cha kumuuziatimu hiyo.

Suala la kujiuliza ni iwapo umiliki wa Prince Mohhamad Salman wa Saudi Arabia na tuhuma zake nyingi za mauaji kutaathiri maelfu ya watu kuendelea kuwa mashabiki wa timu hiyo, na iwapo wachezaji watakuwa tayari kujiunga nayo.

Ikiwa wewe mwana JF ni shabiki wa Manchester United, utaendelea kuwa shabiki wa timu hii chini ya umiliki wa huyu Prince wa Saudi Arabia mwenye kutuhumiwa mauaji pamoja na yale ya Khashoggi?

Source: Manchester United 'receive whopping £3.8BN takeover bid' from Saudi Crown Prince Mohammad bin Salman who hopes to tempt Glazers into selling the club before next season
Mbona watu wanaishabikia ccm pamoja kwamba ndio imeingia mikataba mingi ya kuigharimu tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom