Yeah ndio timu zetu, yani kizazi cha 80,'s lazima uwakute man u, ac milan, inter, juve,madrid,barca,monaco maana ndio club zilikuw zinasumbua kipindi hko.[emoji23]
sema blues sijawahi kuwakubali make ni timu anayoisapoti mzee! alikuwa anantania sana kuwa city haina hata UEFA enzi za kina Samir Nasri.
UEFA yao ilikuwa ileile walocheza fainal na barca, walipokosa pale ndo bs tena hawawez kupata nafas hyo hv karibunNAWAZA ARSENAL WANGEKUWA NA UEFA 15 Sijui mashabik wa tim zingne tungeish vp
[emoji23][emoji23]Arsenal hata haipendezei kubeba UEFA hebu imagine eti kale katangazo kaUEFA mwishoni Arsenal ndio inakuwepo!
🙂
Msimu ulioisha tumeyumba, msimu ujao watu watatafutana kama kawaida.
Inauma chama langu halipo lakini upo sawa zote zinastahili kuwa hizo nafasi 😁😁
Ngoja mwakani tunachukua triple, Epl, Uefa, FA 😎😎Arsenal hata haipendezei kubeba UEFA hebu imagine eti kale katangazo kaUEFA mwishoni Arsenal ndio inakuwepo!
🙂
Sawa 🫱🏻🫲🏽🫱🏻🫲🏽Mkichukua hata moja hapo unitag niko palee
🙂
Nyumbu anashuka daraja mwakani 😄😄😀 😀 😀 Sawa mkuu
muwe makini msiende anga za kina nyumbu mtapoteana.