Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

Jaman wana bodi na tumaswali twangu twa kitoto lakin sivijui naomba kuuliza
Why we cant sense the earth rotation
Why water cant fall apart from the earth
Hayo tu ya kuanzia
 

Ni hatari sana kibali nyakati bcz this is playing God. Ktk spiritual sphere hakuna muda, simply space that is why spiritual entities huishi milele kwa maana muda uliingia ulimwenguni baada ya kuasi mwanadamu, ndio tukapewa laana ya kifo. Muda huambatana na matter, ndio maana matter (body) akapewa mwanadamu kuifunika spiritual aspect yake iwe sehemu ya adhabu countdown ya miaka mpaka kifo (aging).

Sayansi hautaweza kutengeneza time machine, wataishia ktk speculation and observations kama ktk string theory. Letโ€™s say wafanikiwe basi haitatangazwa maana itakuwa hatari kuliko nuclear warfare.
 
huyu jamaa alikuwa ni badass ,,,huwezi mwambia judge hivi na akuache salama,,,,,
"Maiori forsan cum timore sententiam in me fertis quam ego accipiam ("Perhaps you pronounce this sentence against me with greater fear than I receive it")"
Hahah alipata anachostahili

Nipo nae huku tunakula maisha
 
Mkuu wewe ni mtaalamu wa quantum physics ? naipitia sasa ingawa si fani yangu ila naipenda sana
 
Hujaelezea (warm hole/ blackhole) ambayo ni muhimu sana ili time travelling itokee. In ancient time manabii waliweza kufanya time travelling into the future kupitia ndoto and not in an actual body form . they travelled through their mind see the future without the ability to change anything.
 
mkuu kuyaelezea hayo makitu kwa kiswahili mpaka mtu aelewe ni ngumu mno.. hata hicho nilichoandika naona hakijaeleza kitu.. hii post ni moja ya post zangu mbaya maana sijaeleza kama inavyotakiwa hii kitu ielezewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ