Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Change, Change Change!
Ndoto ya Kikwete kuongoza maisha mara hii akitumia jina la MAGUFULI.
Ndio maana atamnadi kwa kutumia akiba yote ya hazina ya Wananchi, kwa mfano kuwanunua kwa Mabilioni wapinzani wahamie CCM, kununua Wasanii wenye njaa kali na pia kuwavimbisha kwa pesa baadhi ya Viongozi wa CCM waliokata tamaa na ccm iliyooza.
Magufuli akimaliza ni zamu ya Ridhiwani.
Ndoto ya Kikwete kuongoza maisha mara hii akitumia jina la MAGUFULI.
Ndio maana atamnadi kwa kutumia akiba yote ya hazina ya Wananchi, kwa mfano kuwanunua kwa Mabilioni wapinzani wahamie CCM, kununua Wasanii wenye njaa kali na pia kuwavimbisha kwa pesa baadhi ya Viongozi wa CCM waliokata tamaa na ccm iliyooza.
Magufuli akimaliza ni zamu ya Ridhiwani.