Kwa anaehitaji line ya uwakala wa tGO pesa ninazo nauza km muhitaji nichek kwa call: 0757 100 687 na whatsapp au ni PM kwa biashara na muhitaji ambae yupo serious.
Kaka hizo till zimekuwa issued kwa kufanyia kazi Dar au mikoani? kama ni za mikoani, zikianza kutumika Dar zitafungiwa mara moja. hili linahitaji ufafanuzi na ni muhimu kuhakiki usajili wa hiyo line kabla ya kununua. Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.