TiGo sh 200 bila kikomo!!!! waongo tu

TiGo sh 200 bila kikomo!!!! waongo tu

SHAROBALO

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
771
Reaction score
349
nimejaribu leo ni mb 400 tu kwa mia mbili waongo sana jamaa...ila inafaa kwa vitu vidogo dogo...kama kusoma email.
 
hiyo bil kikomo labda itakuwa kwa ajili ya kubrows kama unadownload... unazani itakuwa bila kikomo tena
 
Asante tigo,mie wananipa MB 500 kwa sh 500 montnly ikiisha naunga tena hata kama ni within 1 hrs.
 
nimejaribu leo ni mb 400 tu kwa mia mbili waongo sana jamaa...ila inafaa kwa vitu vidogo dogo...kama kusoma email.

Haya makampuni ya simu ndio zao, wengine walianza na bure, wakaja na nusu garama, na very soon, wakuja na garama kamili.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom