Tigo sasa mmeamua..

Hawalazimishi ndo maana ni Upuuzi kuendelea kulalamika Akati line haziuzwi Mil unaweza nunua line ya mtando mwingine kwa matumizi ya Internet then hii uitumie kawaida tu
Dah...unabahati sana kama hujawahi kulazimishwa [emoji2960]
 
solution,kama wanamandisha bei,wewe punguza mda wa kukaa online,mfano kama kwa siku unakua online masaa matano,jiwekee lisaa limoja tu la kupata habari muhimu,au teua siku mbili kwa wiki,siku tano fanya mambo mengine usiguse online hata nukta
 
Tigo ni wasenge km wasenge wengine.f*ck!
 
Tigo ni wa ovyo sana
 
Pole sana, nilishawahamaga baada ya kujiunga gb 1 halafu zikaishia kwa kuperuzi JF tu hata lisaa halijafika wanaleta sms kuwa mb zako zimeisha. Nimehamia Airtel.

Airtel unapata gb 4 za bure wiki nzima na kwa buku 10 unaongea mwezi mzima.
 
karibu wale jamaa wa pale morocco. wapo poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…