Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,767
- 17,800
Imerudi sio muda mrefu ukiona hivyo.Wabongo huwa hawana akili....
wanachochea vitu vya kijinga....alafu utashangaa uzi unataambaa kwa kasi...
kumbe huduma zilisharudi
Imerudi sio muda mrefu ukiona hivyo.Wabongo huwa hawana akili....
wanachochea vitu vya kijinga....alafu utashangaa uzi unataambaa kwa kasi...
kumbe huduma zilisharudi
Mnasema huduma zimerudi lakini mimi mpaka muda huu nikigusa *150*01# naambiwa hivi. " Huwezi kutumia huduma hii kwa sasa. Wasiliana na huduma kwa wateja."Imerudi sio muda mrefu ukiona hivyo.
BalaaWabongo huwa hawana akili....
wanachochea vitu vya kijinga....alafu utashangaa uzi unataambaa kwa kasi...
kumbe huduma zilisharudi
Nimenunua kifurushi sasa hivi kupitia Tigo Pesa na salio liko Sawa sawa
View attachment 1746597
Ya Rasulallah mbavu zinaniuuma Kwa kucheka, Ila wabongo! Halafu nimecheka Kwa sauti na machozi juu, hakuna siku nimecheka JF kama.leoWajisahau wafute data za tigo nivushe
Tatizo wamerudisha huduma huku bado wanatuma Ile meseji yaoWabongo huwa hawana akili....
wanachochea vitu vya kijinga....alafu utashangaa uzi unataambaa kwa kasi...
kumbe huduma zilisharudi
Unachagua namba moja ya Tigo unasajili(mfano shemeji yako)Hiyo bonus ya longa naye wana maanisha ulonge na nani?
Mnalonga dk300?Unachagua namba moja ya Tigo unasajili(mfano shemeji yako)
Ya Rasulallah mbavu zinaniuuma Kwa kucheka, Ila wabongo! Halafu nimecheka Kwa sauti na machozi juu, hakuna siku nimecheka JF kama.leo
Unachagua namba moja ya Tigo unasajili(mfano shemeji yako)
Ovyo kabisa yani, nimejuta kununua Kifurushi chaoHaya mamitandao sikuhizi yamekuwa Kama mashirika tu ya wapiga punye.. huku halotel spidi ya internet Kama mtu anaenda kukata roho! Yani wanashindwa spidi hata na mtu anaeenda kuhara!!
Huo ndo unaitwa ushirikinaOvyo kabisa yani, nimejuta kununua Kifurushi chao